DOKEZO Siasa Zetu: Watoto wa wanachama wa CHADEMA wasimamishwa Shule Nkasi kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya na amri ya mwalimu Mkuu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Tunapeleka taifa letu wapi?

Seriously, nimekutana na hii habari kwenye vyanzo mbali mbali vya mitandao ya kijamii vimenihuzinisha sana ..

Nimejaribu kuvaa viatu vya hao watoto...

Habari yenyewe ni hii👇

WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WASIMAMISHWA SHULE

Mwalimu Mkuu (REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba *****75299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa.

(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BON

Natumaini hapatakucha kabla hatua kali hazitachukuliwa dhidi ya ukatili na ubaguzi huu kwenye Jamii yetu .

Mheshimiwa waziri MKENDA. hili lipo kwenye mamlaka yako.

Pia soma: √ - Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA

IFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU
 
DC na mwl ni mapimbi sana!
 
CCM inaelekea siku zake za mwisho. Vitu kama hivi ni lazima vitoke, hamtakiwi kusikitika.

Chama kikubwa kama CCM kinafanya move ya kitoto kama hii. Tuwe wakweli chama kinapotia mengi sana.
 
Hizo barua itakuwa kaandika Mwanafunzi wa darasa la tatu B. Yaani mistari tu ilivyopigwa tayari ina fahamika kuwa mwandishi HANA UBONGO.
 
You don’t get it money.

Shida ni uwezo mdogo wa wachangiaji wa jukwaa la siasa kuelewa siasa.

Siasa sio uropokaji tu, ni science.

Science ni objective subject with means tested that allows an observer to analyse and make predictions given the factors.

Ni mataahira tu, including you (mleta mada) mliokuwa amuelewi somo; mkiambiwa msi-promote hiyo dhana ya Magufuli muuwaji inayotungwa na mafisadi, you going to create copy cats.

Kwa sababu mafisadi wenyewe ni watu wajinga na wanadhani nadharia ya kuuwa inalipa, now the nation has to pay the price ya idiotic politics kwenye vita ya madaraka.

Tunaposema usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili sio tunaropoka tu, tumeelewa hawa waliondelea jinsi wanavyoendesha nchi zao.

Huwezi kucheka na nyani halafu usivune mabua kwenye shamba lako.

Ni taahira tu ambae akumuelewa Magufuli
 
Mzee mbona umeandika kwa hisia kali lakini ulichoandika hakina uhusiano na mada iliyopo mezani
 
Mzee mbona umeandika kwa hisia kali lakini ulichoandika hakina uhusiano na mada iliyopo mezani
Inabidi utulie unisome kwa makini, hiki kinachoendelea sasa ni downward trend ya kutengeneza chuki zidi ya Samia.

Sasa sio kwamba namkubali hivyo huyo Samia mwenyewe ila siafiki hizi siasa za kuwatumia watanzania kama pawns za political gain za watu wengine,

Na msingi wake ni utunzi wa Magufuli alikuwa muuaji, sasa hizi story wanataka mpa Samia; hiyo ya kufukuza watoto shule it’s just an extension attempt to reach the same goal ya watu wenye nia mbaya.

But you and I know Samia has nothing to do with that.
 



You must be very unhappy soul..

Nani anamchafua nani kwa hii habari hapa? Is this unrealistic strory?

Zaid sana mimi ni mtu mdogo sana kujingiza kwenye spinning za namna unayoleta hapa

Huu uonevu kwa watoto ndio nimeukataa and you may deal with it..
Deal with the fact that igaf and you have no clue whatsoever of what is happening on the ground...

Acting bold on the internet for nothing..

Relax man, you will be treated accordingly...
 
In politics you are not defined by your one time sentiments, rather by your long stances in all the situations.

And you are just shallow, thinking incidents just occur without a causation.

Not long you’ll be siding with people who blame Magufuli for what’s going on now, the same person who wouldn’t have allowed what you are moaning about in this thread.

You think changes happen out of the blue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…