visidady
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 157
- 68
Ben sanane si chadema wanajua alipo? Nyinyi wenyewe ndo mlisema mnajua alipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heri kenya maiti zinatambuliwa na ndugu kuliko TZ rejea maiti za mto ruvu na mauaji ya zenji 2000Anakuja mtu anakuambia Kenya yakuigwa!!
Kama hamjui mtulie tu
hawa wamesha zoea kutoa damu za watu
1Tujitokeze kuwaunga mkono wauaji na aliokuwa akiwadai
Tujitokeze kuwaunga mkono wauaji na aliokuwa akiwadai
Umsahaua yaliyomkuta dr ulimboka? Kibanda? Mwangosi? Na juzi tu hapa kapotea Ben Saanane tuache unafiki hatuna usafi wa kuwayooshea wakenya vidoleSiasa za Kenya zina uchafu wa kila aina, watu wanauana kama Mbuzi tu, watz tumestaarabika sana.
Siasa za Kenya zina uchafu wa kila aina, watu wanauana kama Mbuzi tu, watz tumestaarabika sana.
Maiti nyingine imeokotwa Kawe juzi imefungwa katika kiroba.Umsahaua yaliyomkuta dr ulimboka? Kibanda? Mwangosi? Na juzi tu hapa kapotea Ben Saanane tuache unafiki hatuna usafi wa kuwayooshea wakenya vidole
Ukitaka kuhesabu kwa kwa muongo mzima utafikisha hata 1000 kwa Kenya, hapa tunaongelea vifo vinavyohusiana na uchaguzi tu, saivi vinakaribia 50 sasa. Tz 2015 au 2010 wangapi walikufa sababu ya uchaguzi ?Umsahaua yaliyomkuta dr ulimboka? Kibanda? Mwangosi? Na juzi tu hapa kapotea Ben Saanane tuache unafiki hatuna usafi wa kuwayooshea wakenya vidole
Kenya wanaongelea vifo 50 sasa, Tz wangapi walikufa kwenye uchaguzi wa 2010 au 2015?kumbuka kifo cha mawazo
Watu gani hao ? Tz walikufa wangapi kwenye uchaguzi 2015 au 2010 ?Siasa za Kenya zina uchafu wa kila aina, watu wanauana kama Mbuzi tu, watz tumestaarabika sana.
Inaonesha una uharaka wa kusahau au hufuatilii mambo kama siyo unafiki kwa kivuli cha uzalendo. Hivi umesahau mauaji ya watu mbalimbali hasa wa upinzani wakati wa uchaguzi?? Bahati nzuri wenzetu angalau wanatangaza na kupeleleza. Huku kwetu inaenda kimyakimya. Nadhani hatuna haja ya kufanya ulinganifu tuendelee na yetu nao waendelee na yao. Lakini kutaka kujionesha kuwa tuko bora wakati siyo ni jambo la kijuha
Kenya wanaongelea vifo 50 sasa, Tz wangapi walikufa kwenye uchaguzi wa 2010 au 2015?