Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UMEROGWA WEWE ,wako wapi akina Deo Filikunjombe,Selina Kombani,Mzee Komba wa TOT,Yuko wapi Abdallah Kigoda??? Hawa baadhi walikuwa teamLowassa original,Siasa za Kenya zina uchafu wa kila aina, watu wanauana kama Mbuzi tu, watz tumestaarabika sana.
UMEROGWA WEWE ,wako wapi akina Deo Filikunjombe,Selina Kombani,Mzee Komba wa TOT,Yuko wapi Abdallah Kigoda??? Hawa baadhi walikuwa teamLowassa original, mwamunyange alipotezwa nchini.
Boya WEWE
yeah it's the same person, from SiayaCaroline Adhiambo = Caroline Odinga*
Full name = Caroline Adhiambo Odinga*
* = not sure of the correct name spelling. could be Odiga
Nope. Same person.Duh mwengine kauliwa kenya
yeah it's the same person, from Siaya
Kubenea alishawajibuWhere is Ben Saanane? Where is Alphonce Mawazo et al?
Funga kopo lako wewe usiyejua lolote kuhusu Tanzania.mmeua sana nyinyi. Ni kuwa miili haipatkani mnaitupa mto ruvu imeharibika sana. Kibiti mmeua indiscriminately
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kuna watanzania wachache eti wanasema tuige kutoka Kenya.Siasa za Kenya zina uchafu wa kila aina, watu wanauana kama Mbuzi tu, watz tumestaarabika sana.
Walikuwa wasimamizi wa uchaguzi Tanzania? Na ukitaka hayo waulize wakenya Saitoti na mboya wako wapi?Where is Ben Saanane? Where is Alphonce Mawazo et al?
Kwani sisi wafuasi wa [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] ?Tujitokeze kuwaunga mkono wauaji na aliokuwa akiwadai
Chanzo awe yoyote, Odinga au Kenyata, haiondoa ukweli kuwa Kenya kuna mauaji mengi ya kisiasa. Cha kushangaza ni kuna nyumbxxx wa Tz hapa ambao wanataka kukataa huu ukweli.Hayo mambo usiwekee waKenya wote.Yule mtu mwenye roho ya kuua ni Raila Odinga na wafuasi wake wenye kuimba "No Raila ,No Peace" na yale mengine ya "41 versus 1 " alivyochochea watu kupiga na kuchukia waKikuyu.
Mimi si mjaluo lakini siwezi nyamaza ukisema ati wajaluo ni wauaji. In Kisumu 2007 wakikuyu walifurushwa na mali yao kuchomwa lakini walikubaliwa kuenda police station kwa amani. I was in Maseno at that time so I know what I am saying. Eneo ambapo Watu walikufa inajulikana na nitataja eneo lenyewe na makabila yaliyojipata pabaya bila kutaja kabila iliyotenda uovu huo ndio watu wasianze kulialia hapa eti nawaharibia jina. Naivasha wajaluo wenye kufanya kazi kwenye shamba la maua walifurushwa na wengine kuuawa hata ICC iliweka hiyo bayana lakini sitataja kabila iliyofanya uovu huo. Eldoret Langas Wakikuyu na Wajaluo walifurushwa na wengine kuuawa na kabila ambayo sitataja. Kiambaa church watu ikiwemo watoto walichomwa wengi wao walikuwa wakikuyu na kabila iliyofanya hivyo inajulikana na sio wajaluo.Hayo mambo usiwekee waKenya wote.Yule mtu mwenye roho ya kuua ni Raila Odinga na wafuasi wake wenye kuimba "No Raila ,No Peace" na yale mengine ya "41 versus 1 " alivyochochea watu kupiga na kuchukia waKikuyu.
Kweli hata mie naonaSiasa za Kenya zina uchafu wa kila aina, watu wanauana kama Mbuzi tu, watz tumestaarabika sana.
so sadHistoria ya mauaji ya Uhuru Kenyatta ipo wazi, haya ni mambo yake. Aliongoza Mungiki kuchinja Wajaluo na Wakalenjini, baadae akauwa mashahidi wote wa ICC.