Sidhani kama Diamond Platnumz anamsaidia Marioo

Sidhani kama Diamond Platnumz anamsaidia Marioo

Acha kumtukana rayvanyy...utani wa ngumi uo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu acha tu, Diamond amefanya move nzuri. Lango la WCB saa hii lipo wazi maana hakuna main act mwingine pale na kama akimkuza marioo, itampa faida zaidi maana tayari ana jina na pia ni talented.
 
Diamond Anatafuta mtu wa kua anamuandikia Nyimbo, Baada ya Mavoko na Konde boy Kusepa


Dogo anaenda Kupotea, Dogo angejiuliza Mbosso na Lavalava wamefika wapi Nadhan angekaa mbali na huyu Sangoma msanii mshirikina Tanzania nzima
 
Diamond Anatafuta mtu wa kua anamuandikia Nyimbo, Baada ya Mavoko na Konde boy Kusepa


Dogo anaenda Kupotea, Dogo angejiuliza Mbosso na Lavalava wamefika wapi Nadhan angekaa mbali na huyu Sangoma msanii mshirikina Tanzania nzima
We jamaa nichawi.. hivi lavalava bila domo kuna mtu hii Tz hata angemfahamu anaishi wapi??
Na mboso bila domo.si angekuwa kibiti analima mahindi
 
Nimeona picha huko Instagram Marioo akiwa na Diamond Platnumz huko Nigeria.

Wengi wetu tunaamini Platnumz anamsaidia Marioo kumpeleka international ila mi naona kama anamharibia.

Kitachotokea ni Marioo sasa kuanza kuimba kama Wanigeria kitu ambacho kitamuharibia. Atapoteza identity ya muziki anaofanya kama tulivyomzoea na kumpenda.

Diamond siku hizi amekuwa ni mtu wakuimba na beat za Nigeria kitu ambacho mimi binafsi kinanichukiza sana. Amepoteza kabisa identity na ndo maana ni vigumu yeye kupata tuzo siku hizi.

Huwezi kupata tuzo kwa mfano ya “Best East African” artist wakati unaimba kama Wanigeria.

View attachment 1325893
Jamaa wamefanana hatar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom