Sidhani kama nitakuja kuoa katika maisha yangu yote

Sidhani kama nitakuja kuoa katika maisha yangu yote

Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Acha uongo yaani 4yrs bila kuliona jicho we zaidi ya mpumbafu

Ungekuwa karibu ilikuwa viboko tu
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Mwombe MUNGU
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Unakaaje na binti miaka minne bila kumuoa mzee ? Huo uzembe na alichokifanya ni stahiki yako kabisa.

Acheni uzembe vijana,oeni.
 
Mkuu umekosea sana kukaa na kipochi manyoya bila kukichakata, alikuona unazingua ndo mana akaenda kwa wamba wamuondolee hamu zake
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Iyo kawaida mjuba hata yesu hakuoa ujue..
Mambo mengine dnt give a https://jamii.app/JFUserGuide let it GO
 
Asanteni wote kwa michango yenu ambayo ni Chanya na hasi pamoja na matusi ya Baadhi yenu.

Wale mnaonitukana asanteni zaidi.Ila hili jukwaa ni la watu UK Express hisia zao.Kama nimewakwaza samahani.

Ila ni kweli nimeumizwa sana Kijana mwenzenu.Kejeli matusi havinijengi.
Huyu binti ATANIKUMBUKA TU.Am not a prophet but upo muda atanikumbuka.


Nipo nakunywa,niacheni ninywe nipoteze mawazo,mkiona kimya Siku nyingiii mjue nimekufa Japo sikusidii kujidhuru.


I love you all.


Ila nimeumizwa sana
 
Asanteni wote kwa michango yenu ambayo ni Chanya na hasi pamoja na matusi ya Baadhi yenu.

Wale mnaonitukana asanteni zaidi.Ila hili jukwaa ni la watu UK Express hisia zao.Kama nimewakwaza samahani.

Ila ni kweli nimeumizwa sana Kijana mwenzenu.Kejeli matusi havinijengi.
Huyu binti ATANIKUMBUKA TU.Am not a prophet but upo muda atanikumbuka.


Nipo nakunywa,niacheni ninywe nipoteze mawazo,mkiona kimya Siku nyingiii mjue nimekufa Japo sikusidii kujidhuru.


I love you all.


Ila nimeumizwa sana
Pole mwamba, ila hizi mada weekend hii zimekuwa nyingi sana humu, kuna nini huko mitaani?

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee usiwe mwepesi ivyo,, unaogopa kutukanwa na kejeli ,, utaweza Ku survive kweli?

Hii Dunia inahitaji watu strong sna hasa Emotionally!

Chukua kitu chanya then tembea, kila mtu ni muhanga kweny mahusiano!

Pia usiseme uyo mpenzi wako atakukumbua! Akukumbuke kwa lipi hii inaasharia bado hauja release!

Weka moyo wako clean ingawa ni ngumu pia usimfatilie tena move with your thing!

Hakika upendo wako utarudi kwa namna ya kustaajabisha na utamshukuru Mungu
Asanteni wote kwa michango yenu ambayo ni Chanya na hasi pamoja na matusi ya Baadhi yenu.

Wale mnaonitukana asanteni zaidi.Ila hili jukwaa ni la watu UK Express hisia zao.Kama nimewakwaza samahani.

Ila ni kweli nimeumizwa sana Kijana mwenzenu.Kejeli matusi havinijengi.
Huyu binti ATANIKUMBUKA TU.Am not a prophet but upo muda atanikumbuka.


Nipo nakunywa,niacheni ninywe nipoteze mawazo,mkiona kimya Siku nyingiii mjue nimekufa Japo sikusidii kujidhuru.


I love you all.


Ila nimeumizwa sana
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Usijali mkuu kwan bikr hat ww si ungetoa tu ila wamekuwahi pole[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada, sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu. Nimempa heshima zote, nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!

Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu. Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu, mara nilie. Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena. Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.

Eee Mungu wewe unajua bwana

Boss unamwachaje Mwanamke mwenye bikra kwa miaka Minne ,hawaaminiki man !!hila Pole kaka
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada, sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu. Nimempa heshima zote, nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!

Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu. Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu, mara nilie. Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena. Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.

Eee Mungu wewe unajua bwana

Wewe ulitaka kuoa bikra yake?
 
Huna akili kabisa ni boya kabisa na ndivyo mwanamke amekuona na kuamua kukwambia tu ukweli, ni dadako huyo ukaenae muda wote huo bila kumdocha?
 
Huna akili kabisa ni boya kabisa na ndivyo mwanamke amekuona na kuamua kukwambia tu ukweli, ni dadako huyo ukaenae muda wote huo bila kumdocha?
muacheni bana kijana mtu wa ibada huyuu [emoji23][emoji23]
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada, sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu. Nimempa heshima zote, nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!

Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu. Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu, mara nilie. Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena. Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.

Eee Mungu wewe unajua bwana


Duh! Hapo ngoma inogile!
 
Back
Top Bottom