Sidhani kama nitakuja kuoa katika maisha yangu yote

Sidhani kama nitakuja kuoa katika maisha yangu yote

Subira yangu ndiyo iloniponzaa ngoja ngojaa naonekana zoba/mjingaaaa kwa sababuuu nilimpendaaa kweeeli, kwa sababuuu nilimpendaaa kweeeli. Mapee mapeee mapeeenziii mabayaa mapenziii mabayaaaa.
 
Sawa kabisa bro. Maisha sio lazima uoe. Ishi vile unataka. Mapenzi na ndoa siku hizi ni kupoteza muda tu. Mwisho wa siku ni vurugu, matalaka na watoto wanateseka. Bora mtu upate tu watoto kama ndio haja yako. Ila TAFUTA HELA KWANZA.
 
Sawa kabisa bro. Maisha sio lazima uoe. Ishi vile unataka. Mapenzi na ndoa siku hizi ni kupoteza muda tu. Mwisho wa siku ni vurugu, matalaka na watoto wanateseka. Bora mtu upate tu watoto kama ndio haja yako. Ila TAFUTA HELA KWANZA.
Yani boyfriend wako anakwambia weka laini ya airtel akupigie. Sasa kwenye harusi yenu tutashiba kweli?[emoji23][emoji23]
 
Ebu tupe mrejesho mkuu
UPDATES:
Baada ya kunifanyia hivyo mwanzoni mwa mwaka huu,niliamua kukaa kimya ma kumwachia Mungu. Sasa jana nikiwa nimejipumzisha home mara namba ngeni inaita.Nikapokea nikasikia sauti ya kike.Nikamsikikiza,huku akiwa bado hajajitambulisha.Akaniuliza nipo wapi nikamjibu home,hakusema kuwa anataka kuja but alionesha kabisa anahitaji onana nami.

Nikauliza kwani nani mwenzangu?akajibu mie Flaviana (si jina halisi). Nika respond normal,na kumjulia hali yeye na family yao kiungwana kabisa. Baada ya story hizo akaomba tuonane,me nikasema karibu nyumbani.Akasema sawa nakuja,ni kweli akafika tukaongea mengiiiiiiiiiii,nikauliza kilitokea nini?akajieleza,nikasema sawa hamna shida.

Akasema nimekuja KUOMBA MSAMAHA,nikamwambia "uenende kwa amani ya bwana,sina kinyongo na Mungu akubariki"
Weeee akaanza kulia,anasema "naomba unisamehe ili nipate kuutua mzigo nilio nao,hapa nilipo nimekata tamaa ya kuishi,hata masomo sijui kama nitamaliza. (Huyu mtu ndo anaingia mwaka wa pili wa masomo). Nikasema sina shida, moyo wangu mweupe.

Hapo analia kweli,nikauliza nini shida? Akasema nina UJAUZITO! (Asalaaaaale)!!!
Kuja kuangalia! Ni kweli shost towaaaa!

Nilichofanya ni kumpa courage basi. Baada ya ushauri na kumpa nguvu nikamwambia arudi nyumbani me nimemsamehe.

Ikaishia hivo.

Sijafurahi,nimeumia sana maana sijui hatma yake katika
1.masomo kumaliza
2.kukamilisha huu uzazi
3.kuolewa
Namwombea Mungu aweze yote hayo.

Ukiuumiza upendo wa kweli hutobaki salama.Mungu ni fundi sana sana.

Hii ni kweli na si story ama porojo.Maisha kwangu yanaendelea.Samahani kwa kuwachosha.
 
UPDATES:
Baada ya kunifanyia hivyo mwanzoni mwa mwaka huu,niliamua kukaa kimya ma kumwachia Mungu. Sasa jana nikiwa nimejipumzisha home mara namba ngeni inaita.Nikapokea nikasikia sauti ya kike.Nikamsikikiza,huku akiwa bado hajajitambulisha.Akaniuliza nipo wapi nikamjibu home,hakusema kuwa anataka kuja but alionesha kabisa anahitaji onana nami.Nikauliza kwani nani mwenzangu?akajibu mie Flaviana (si jina halisi). Nika respond normal,na kumjulia hali yeye na family yao kiungwana kabisa. Baada ya story hizo akaomba tuonane,me nikasema karibu
Umefanya vizuri mkuu maana majuto ni mjukuu mwache avune alichopanda, pia hongera kwa muonesha uwanaume maana hawa viumbe ukiwachekea watakupelekesha
 
Mkuu huu Uzi uliuandika siku yangu ya Birthday mhuni nafurahia na Pisi angu Napata Uroda Beach we upo humu unalia umepigwa kibuti daaah!!!😂😂😂
 
Back
Top Bottom