Sidhani kama Tanzania itaendelea katika uhai wetu

Sidhani kama Tanzania itaendelea katika uhai wetu

Maendeleo yanahitaji muunganiko wa watu wote kufanya kazi kwa bidii kwa lengo ya kupata matokeo chanya ambayo ni hayo maendeleo sasa..... Taifa zima linapaswa kuwa na uelekeo mmoja na watu wote lazima wafuate huo uelekeo kwa jasho damu....wakufa wafe, wakuumia waumie kufikia lengo moja...
 
Maendeleo yanahitaji muunganiko wa watu wote kufanya kazi kwa bidii kwa lengo ya kupata matokeo chanya ambayo ni hayo maendeleo sasa..... Taifa zima linapaswa kuwa na uelekeo mmoja na watu wote lazima wafuate huo uelekeo kwa jasho damu....wakufa wafe, wakuumia waumie kufikia lengo moja...
Umenena vyema Mkuu alaf inatakiwa kama nchi lazima iwe na sera ya maendeleo iwe ya muda mrefu kuanzia nusu karne hata karne nzima sio kama tunachofanya kila raisi na sera zake mambo yanavurugika kila raisi mpya anapoingia ila ili maendeleo yapatikane lazma wengi waumie kwa maslahi kwa vizazi vinavyokuja ila kwa ubinafsi wetu huu wabongo icho kitu hatuwezi,,,refer kwa mabeberu na historia zao za kimaendeleo
 
Sijali wewe at your personal level umejiendeleza na umeendeleza nchi kwa kiasi gani kimaendeleo? Usije kujibu ati unalipa Kodi sijui kitu gani! Kama wewe katika individual level umeshindwa kuwa na maendeleo usitarajie nchi kuwa na maendeleo! Kila moja wetu ajiendeleze ktk hatua yake.
Lijorojik!Hii siyo personal.Ni mada ya kufikirika. Usiifanye kuwa ni mimi na wewe. Tunazungumzia Watanzania wengi, 80 %. Ingawaje mimi binafsi nimeendelea, sioni maendeleo yangu yamekamilika ninapoona 80% ya Watanzania wanaishi katika umaskini wa kutupwa. Naona kama mimi pia sijaendelea. Mwenye dhima kuu ya maendeleo ya Watanzania wengi ni serikali na uongozi. Hii haimanishi wawalishe, wawavishe, wawajengee Watanzania wote, la! Ila ni kuweka sera na siasa safi zinazoruhusu mtu, watu wajiendeleze. Siasa kama hizo hazipo. Kama hujafunua macho, funua!
 
Maendeleo yanahitaji muunganiko wa watu wote kufanya kazi kwa bidii kwa lengo ya kupata matokeo chanya ambayo ni hayo maendeleo sasa..... Taifa zima linapaswa kuwa na uelekeo mmoja na watu wote lazima wafuate huo uelekeo kwa jasho damu....wakufa wafe, wakuumia waumie kufikia lengo moja...
Watu wengi wanapotosha kwa kuwalaumu Watanzania eti ni wavivu, wasiopenda kazi, na ndiyo maana hawaendelei! Uongo. Nenda Ulaya, Marekani na mahali popote mtu anapopewa uhuru na haki na malipo anayostahiki uone Watanzania wakifanya kazi hadi saa nane za usiku. Utakuwaje mchapa kazi wakati mshahara wako hautoshi kukukimu hata nusu mwezi na kuna tozo zinazokungojea? Angalia wabunge wanavyochapa kazi!
 
Back
Top Bottom