Sielewi kwanini Diamond aliharibu familia yake

Sasa mlitaka watu waachane halaf kila cku anaenda kuwaona watoto?!..ulisikia wapi duniani kote inafanyika hivyo?!

Mnawekeana ratiba ya kuonana na watoto


Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila siku lakini uwepo ndio maana hata shule za boarding kunakuaga na visiting day kila baada ya muda fulani watoto waonane na wazazi wao.
 
Sasa mlitaka watu waachane halaf kila cku anaenda kuwaona watoto?!..ulisikia wapi duniani kote inafanyika hivyo?!

Mnawekeana ratiba ya kuonana na watoto


Sent using Jamii Forums mobile app
Yes..nadhani tatizo liko kwa Zari hataki kuwaachia waje kwao bila yeye hiyo ndo shida...Dai hawezi kuwa anaenda South mara kwa mara in the name of watoto,hata dates wao (wa Dai na Zari hawawezi kuwa comfy kwa situation kama hii) mama anaweza kuwa na full custody ya watoto but baba anaweza kupewa siku kadhaa za kukaa na watoto wake...
 
Pesa sio kila kitu. Uwepo wa mzazi around ndio kila kitu. Acha kutetea kila jambo linalomuhusu diamond
Sijakataa lkn Kuna situation automatically zinapunguza ule ukaribu, ndio ukweli mwenyewe. Najua sikujui lkn kwenye ukoo wenu Kuna ndugu wamezaa nje nje ya ndoa zao, hivi ushajiuliuza ukaribu na watoto zao utakuwa ni wa kawaida? Ila hali inakusuma kuhakikisha mtoto anapata huduma muhimu na kumuona mara moja moja. Tatizo lenu msha kalili Diamond akienda South lazima apost, sababu hajapost mshacoclude hajawaona watoto wake.
 
Wanaume wa Jf buanaaa wao kila siku humu kujitaba jinsi walivyozaa na wanawake na mpango wa kuwaoa hawana mara ooh usijiroge ukaoa singo maza hapa wako kumlazimisha mwenzao aoe mwanamke aliyezaa nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa....
 
Mbona wanafanana na marehem ivan sana..au ndo kitanda hakizai haram
READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
Diamond anavyopenda misifa akienda sehemu asipost ebu wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu na mpenzi wake wanaachana lakini watoto hawaachani. Mie jamaa zangu wapo na watoto wao karibu. Kila mara baba yupo kuangalia watoto wake, wakubwa wachukuliwa weekend wanaenda kwa baba yao, wadogo wanatoka na kurudishwa jioni. Kuna wanaume wanapenda watoto wengine wapo kama sperm donor tu.
 
Mimi namuelewa diamond najua nikiwa na hasira navyokua aseeeh!na naona wanawake wanavyotukana waume zao diamond sio mjinga kumuacha Zari kama jamii inayofikiri kama aliweza kumkubali akiwa na watoto wa3!!

Mhimu tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu ktk mahusiano!!
Kweli kabisa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kitu kama hicho? Yaani uwe na ukaribu sawa sawa na watoto wa kwenye ndoa hamna kitu kama hicho dada yangu, hichi ninachokiongea ni uhakika nacho 100%.

Ila nilichogundua tatizo lako umekalili Diamond mtu wa misifa, kila akifanyacho lazima akirushe social networks.
 
Hamna kitu kama hicho? Yaani uwe na ukaribu sawa sawa na watoto wa kwenye ndoa hamna kitu kama hicho dada yangu, hichi ninachokiongea ni uhakika nacho 100%.
Kwani diamond ameoa? Mtoto wa nje ndio hawez pata ukaribu kama ule wa mtoto wa kwenye ndoa/committed relationship ila naye inabid apendwe hana hatia. Ndio maana ushauri daily wanaume mfunge zipu nje, maana kuna mawili mimba na magonjwa ya zinaa pamoja na ukimwi.

Na mimi siongelei mtoto wa mchepuko au wa ndoa naongelea mtoto kama mtoto anahitaji ukaribu wa wazazi wote wawili kama wako hai na sio wagonjwa.

Kulea mtoto na mzazi mmoja ndio kuwajenga kina diamond wengine wenye visirani na baba zao. Na mfano kama diamond unakuta baba diamond anachohitaji pale ni kuonana na mwanae tu roho yake itasuuzika.
 

Umeanza magazeti mie yule yule sisomi

Mshauri ajipange upya
Tutataka ma show na sio kuona demuzi huku kapo imebuma tho anajitahidi wapiiiiii
 
Ivan pamoja na huduma kwa watoto wake aliekuwa anakuwa nao pia vacation za kutosha kawapeleka Ibiza , marekani na outing za kutosha kifupi alikuwa anajipa muda na watoto wake
Kwa Diamond story Ni tofauti kabisa anamiezi zaidi ya 7 hajawaona watoto wake physically hate birthday alishindwa kuhudhuria akaenda kwenye bday ya worlper.
Ivan naye aliishi maisha aliyoyapitia? Au ww ulitaka Mondi afanyeje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Korodani
 
Sema na wewe maana inasikitisha sana halafu mtu anaona ni hali ya kawaida.
 
Umeanza magazeti mie yule yule sisomi

Mshauri ajipange upya
Tutataka ma show na sio kuona demuzi huku kapo imebuma tho anajitahidi wapiiiiii
We unalingine labda, au labda aje kwako akufanyie show binafsi.
 
Acha uongo hata kama humpendi Diamond, lkn usimsingizie Diamond kipindi anaitoa jibebe na kupromoti style ya kucheza wakati yupo South alikuwa anamfundisha Zari kucheza, hiyo miezi saba imefikaje duu na baada ya hapo ndio waka shoot video yake na Katika ya Navy kenzo.
 
Nadhani uko nje ya madam swala la diamond kuachana na Zari hiyo Ni issue yao hapa tunazungumzia watoto kupata malezi ya baba hasa physically , diamond hata angeachana na Zari kwa kupigana Bado isingempa sababu ya yeye kutowaona watoto wake.
Kuna kipindi Babutale alisema diamond alisusa kwenda kuwaona watoto wake kwa miezi 5 baada ya Zari kumblock asiwe anaongea nao kwenye simu ikabidi yeye afunge Safari kwenda south kutafuta suluhu Apo tu anaweza pata picha Ni mtu wa Aina gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…