brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Sio Mimi niliosema hiyo miezi 7 Ni Zari aliandika kwenye Snapchat yake akawa anasema watoto wanacreate memories na anko yao lakini hawata kuwa na memories na baba yao kipindi Cha sikukuuu .Acha uongo hata kama humpendi Diamond, lkn usimsingizie Diamond kipindi anaitoa jibebe na kupromoti style ya kucheza wakati yupo South alikuwa anamfundisha Zari kucheza, hiyo miezi saba imefikaje duu na baada ya hapo ndio waka shoot video yake na Katika ya Navy kenzo.
Uziri wa Zari huwa anamchana diamond Wala hamuogopi
Sent using Jamii Forums mobile app