SIELEWI MANA YA HUU MSEMO,Msaada please wanajamvi...


Nonsense!!..
 
Ubarikiwe zaidi Keren....hakukosea aliyesema JF kipimo cha uvumilivu....kwa kuwa mema ni asilimia 95,na kero ni tano....tutabanana hapa hapa!!!!

Amen dear! Ni kweli kabisa......ila ni mambo madogo tu haya! Mtu anaweza kusema anachotaka, cha muhimu najijua mwenyewe jinsi nilivyo, so wala sijali kabisa!
 
Mkuu umekuja kuwatusi dada zetu huku unajifanya hujui unamaanisha nini?


Nakushauri omba msamaha.
 
Sipendi watu wasiowaheshimu kinamama/dada.inabidi tumzirie thread yake kama jina lake.

uporoto cant you stand with your own legs or?yani usione watu wana-challenge with facts then nawe unasema eti siwaheshimu wanawake ,is it true!?ninapenda kujua kutoka kwa magret thinkas humu jamvini bt sikutambua kama kuna watu wachache kama wewe wanaoweza mobilize watu wasusie sredi,unajua bwana urojo ,so sory uporoto kama kitu hukipendi na haulewi sredi in a nutshell ,its better you shut up your mouth ,
 
Mkuu umekuja kuwatusi dada zetu huku unajifanya hujui unamaanisha nini?


Nakushauri omba msamaha.

khee,msamaha wa nini?provide facts za kuonyesha kuwatusi hao dada zako na si unanukuu au kuchukua kijimstari kimoja ,think critically
 
Nzirie huwezi kuja na kauli za kidhalilishaji unazozisikia hapo kwa muuza kahawa na tukakuunga mkono,ni afadhali uendelee kutuchekesha kule kwenye jokes,hapa ukija na tatizo la mahusiano kweli watu watakushauri.
 
kwanza umeshasema msemo wa mtaan alafu unatuletea REJESTA tofaut tofaut wewe kama unataka kujua kawaulize unao wackia wakisema sawa mkuu
 
Nzirie huwezi kuja na kauli za kidhalilishaji unazozisikia hapo kwa muuza kahawa na tukakuunga mkono,ni afadhali uendelee kutuchekesha kule kwenye jokes,hapa ukija na tatizo la mahusiano kweli watu watakushauri.
Nzirie atakuwa anapenda sana kukaa vijiweni
 
khee,msamaha wa nini?provide facts za kuonyesha kuwatusi hao dada zako na si unanukuu au kuchukua kijimstari kimoja ,think critically
Uungwana ni pamoja na kukubali ulimi ukiteleza na kuwataka radhi kina dada/mama/wake kwa kuwakwaza.
 
TF rafiki yangu mbona hunipendi hivyo nikisalimia dada unaona kosa Y ?
Ahaaa ahaaa ahaaa, I hope u are not planning to mess with her kama vile askari wa jiji wanavyo mess na wamachinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…