Sielewi, ni kitu gani?

Delightie

Senior Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
138
Reaction score
201
Habari madaktari, jamani naomba mnisaidie, nimejifungua mwezi wa kwanza mwaka huu, nimekaa kama mwezi hivi nikiamka asubuhi kisimi kinanium mfano wa jipu linavovuta mpaka nakosa amani naomba anaweza kujua tatizo ni nini au tiba yake, kwa aliye serious lakini.
 
Hizo ni fangasi jaribu kutafuta tiba ya hizo fangasi au onana na madaktari kwa ushauri zaidi.
 
Asante sana ngoja niwait majibu mengine pia
 
Mashaxizo unaniuliza swali gumu sana, unaweza kunibadikishia swali lingine?

Utafiti naona unanizonga tu!
Ngoja niwaite mabeste wangu waje wanipe jibu hapa!
miss chagga, Ennie, tinna cute, sister, Karucee na DEMBA! Mabeste zangu wa ukwe-enh! Naomba mnipe maana ya 'KISIMI' kama ilivyotajwa kwa sired hapo, naona huyu Utafiti ananizonga tu!
Mi nataka nimshauri mleta mada but huo msamiati ni mgeni kwangu!
 
Last edited by a moderator:
Loading......hadi google imeshindwa kutoa majibu

Usinizonge sana, nimesha ita beste wangu wa ukweli waje wanipe jibu kama wewe umeshindwa!
Na utabaki hivyo hivyo na uchoyo wako!
 
Usinizonge sana, nimesha ita beste wangu wa ukweli waje wanipe jibu kama wewe umeshindwa!
Na utabaki hivyo hivyo na uchoyo wako!

Sawa mi mchoyo, ukipata jibu uni cc na mimi
 
kuna ugonjwa unaitwa lawalawa huwa unakumba sehem hyo nenda kachek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…