kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Mnajeshi gani ninyiMnataka kuivuruga Rwanda kama Tanganyika ilivyoivamia na kuitawala Zanzibar? Hamuwezi. Rwanda ni tofauti na Zanzibar. Zanzibar ilikuwa haina jeshi enzi zile lakini Rwanda leo wana jeshi mkijaribu upuuzi wenu watawatoboa macho.