Mkuu hii EAC naiona kama club ya kutuongezea matatizo tuliyonayo.Ebu fikiria wakimbizi wa Afrighanistan ambao wana uzoefu wa vita wakifurushwa UK wanatua Rwanda watafanya nini zaidi ya ujambazi/ujangili katika eneo lote la maziwa makuu.
Rwanda kama nchi tayari ni tatizo.