Well i give you the benefit of the doubt!!!!!!!!! Fine! Okay! Mikoani KIDOGOOO kuna wabishi ila usisahau principle ya MAJORITY RULES MINORITY RIGHTS!!!!!!!!! Sasa je majority wa mkoani wanasimamia wapi?
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.
BACK TO TOPIC
Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!
1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?
2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!
3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!
4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.
5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!
Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!
Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!
Karibuni kwa HOJA ZENU!
Haha..kama ni kuchuma vyepesi ...ulikuwa na haja gani kusoma au kuhalalisha kwa vyeti?Wala si mabishano ila ni reasoning too?
Madada poa nao hujisikia sana kujiamini wanapojua lugha nyingi za wateja wao, au kuonekana wasomi ktk biashara zao,na mara nyingi huwaponda sana wenzio wanaoongea Lugh moja ya kimataifa.Waswahili wengi hukimbizana na vyeti ili wawe huru ponda wengine wanaofanikiwa bila kupitia hizo njia.......ni kua buse elimu..
Umeinvest 15yrs kupata vyeti na si elimu ya ku badili dunia inayokunguka...?Once mna exhaust mazingira waliyojenga wengine nchi itakuwa mbaya sana.
Hahahaaaaaaaaa! Afu mnakuwaga na ugwadu si mchezo!!!!!!!! Sie mission town tunaagiza shots za mawazo nyie miznga mi 3 mitatu, haswaa watu wa mgodini! Pombe shurti mchafue meza japo hamnywi zote kwa mpigo!
Hoja ya msingi ni Dar es Salaam mtu unafanya kazi gani na unaishi wapi? Na je, wenzako ni akina nani? Vinginevyo nawashauri vijana kwenda mikoa kuna fursa nyingi. Hapa Dar panafaa wenye mitaji mikubwa na kazi zenye nafasi ya kuiba.
Akili ya utafutaji pesa haina uhusiano na mahali ulipo. Kama uko gifted katika utafutaji popote utapiga kazi. Hii mentality ya Dsm ndo kila kitu haina mashiko.
Hoja ya msingi ni Dar es Salaam mtu unafanya kazi gani na unaishi wapi? Na je, wenzako ni akina nani? Vinginevyo nawashauri vijanakwenda mikoa kuna fursa nyingi. Hapa Dar panafaa wenye mitaji mikubwa na kazi zenye nafasi ya kuiba.
mkuu mwaka huu nimesoma kitabu kimoja kinaitwa 'the tipping point" kuna chapter inaitwa the rule of few. inaelezea kwamba asilimia 80 ya kazi hufanywa na asilimia 20 tu ya watu!!. hivyo hivyo hata fursa na utajiri wa nchi yetu unaonwa na watu wa chache sana. kama mtu haoni inatakiwa kumuonea huruma sana. mtoa mada nae ni mtu wa kuonewa huruma. hebu muulize madini atachimba dar?, viwanda vya sukari atajenga dar?, kahawa atalima dar?, akitaka kuanzisha kiwanda cha kauri atajenga dar?, akitaka kulima chochote je atalima dar?, akitaka aanzishe steel industry siku moja aje kuwa kama mukeshi ambani ataanzisha dar na amesema hatoki?. tukubalieni tu kitu kuna wengine genes make up zao zinawaruhusu kuwa watumwa tu na kufanyia kazi wengine na ndio maana wanaangaika kukusanya mavyeti wakijua vitawalinda kwa ma master wao.kwani unadhani shida ni vyeti, au mengine unayodhani...shida ni kwamba elimu yako haikusaidii badili mazingira ili yawe favourable kwako na wengine.Ila ni kutumia walichobadili wengine.Pengine umenielewa.
Nature na survival ya binadamu ni kubadili mazingira yaweze msaidia, na elimu ni mojawapo ya tools ,muhimu.Naona elimu yako ni msaada wa kutumia walivyojenga wengine ndio maana unajitahidi sana kutuonyesha kuwa unavyo vyeti vya akuhalalisha wewe kuchagua mji wenye maendeleo waliyoleta wengine ili ukatumbue tena big.Sioni hata kwanini ulisoma km lengo ni kudandia waliyofanya wengine.Si ungejituma km wengine wanaoosha sura na kuuza sura tuu.
Siamini kuwa wasomi wa kibongo ni wa hovyo hivyo...wanasoma ili watumbue na si kuzalisha in abundant..ndio maana ma CCM yanasoma ili yapate uhalali wa kukaa palipo na vya kuiba hata km ni kuwalaza watanzania 100,000 + njaa.......
Kwa heri....ungezaliwa down town Manahatan ungekuja Africa?
Na hizi zote ulizosema ndipo kuna hela za wanaoweza inunua serikali yoyote duniani.....pamoja na wanasiasa wote jumlisha wapambe wao.mkuu mwaka huu nimesoma kitabu kimoja kinaitwa 'the tipping point" kuna chapter inaitwa the rule of few. inaelezea kwamba asilimia 80 ya kazi hufanywa na asilimia 20 tu ya watu!!. hivyo hivyo hata fursa na utajiri wa nchi yetu unaonwa na watu wa chache sana. kama mtu haoni inatakiwa kumuonea huruma sana. mtoa mada nae ni mtu wa kuonewa huruma. hebu muulize madini atachimba dar?, viwanda vya sukari atajenga dar?, kahawa atalima dar?, akitaka kuanzisha kiwanda cha kauri atajenga dar?, akitaka kulima chochote je atalima dar?, akitaka aanzishe steel industry siku moja aje kuwa kama mukeshi ambani ataanzisha dar na amesema hatoki?. tukubalieni tu kitu kuna wengine genes make up zao zinawaruhusu kuwa watumwa tu na kufanyia kazi wengine na ndio maana wanaangaika kukusanya mavyeti wakijua vitawalinda kwa ma master wao.
HAHAAAAAAA! MIND YOU IM BELOW 25, SO YOU CAN IMAGINE I WAS HOW OLD IF YOU MINUS THOSE 15YRS! Nilikuwa minor hata contract kuingia siruhusiwi so the best thing to do at that time ilikuwa kwenda shule! nA SIKWENDA COZ NAITEGEMEA SHULE INITOE KIMAISHA NOOO! Ilikuwa kufuta tu ujinga, kukua, kupata hadhi kwenye jamii kama msomi na kumfurahisha mzazi wangu Baaaaaaaaaass BT NOW ITS TIME FOR CHAMPIONS LEAGUE!
DARESALAAM NDO KILA KITU! HABARI NDO HIYO!!!!!!!!!!! Japo wote mkija huku mahindi na mchele tutapata wapi? LOLEST!
Napingana na wewe! Uko wap katika level ya maisha sidhani kama inajalisha! Issue ni kuwa unataka kuwa wapi na utafanya nini kufika hapo unapopataka?
Watu wengi walizaliwa vijini sitimbi ndani ndani huko! BUT THEY HAD A BIGGER VISION KUWA SITIMBI SIO KITU! WAKADANDIA MALORI WAKAJA DSM UPEPO UNAPOVUMA, WAKA PERSVERE NA WAMETOKA KIMAISHA!!!!!! WENGINE WALIKOMAA NA VITABU KUJA VYUONI WAMENASA HAPA HAPA! ITS ALL ABOUT SURVIVAL OF THE FITTEST!!!!!!!!
IN LIFE WE ALL GET A FEW CHANCES, IF YOU DONT GRAB THOSE CHANCES BY THE BALLS YOU WILL ALWAYS WONDER HW YOU BECAME SECOND RATED IN LIFE!
mkuu mwaka huu nimesoma kitabu kimoja kinaitwa 'the tipping point" kuna chapter inaitwa the rule of few. inaelezea kwamba asilimia 80 ya kazi hufanywa na asilimia 20 tu ya watu!!. hivyo hivyo hata fursa na utajiri wa nchi yetu unaonwa na watu wa chache sana. kama mtu haoni inatakiwa kumuonea huruma sana. mtoa mada nae ni mtu wa kuonewa huruma. hebu muulize madini atachimba dar?, viwanda vya sukari atajenga dar?, kahawa atalima dar?, akitaka kuanzisha kiwanda cha kauri atajenga dar?, akitaka kulima chochote je atalima dar?, akitaka aanzishe steel industry siku moja aje kuwa kama mukeshi ambani ataanzisha dar na amesema hatoki?. tukubalieni tu kitu kuna wengine genes make up zao zinawaruhusu kuwa watumwa tu na kufanyia kazi wengine na ndio maana wanaangaika kukusanya mavyeti wakijua vitawalinda kwa ma master wao.
jamaa alieandika the tipping point anaitwa malcom gladwell ni jamaa anaheshimika sana kwa uandishi, kitabu chake kingine kinaitwa brink: the power of thinking without thinkingRed giant & nicholas u are real great dynamic thinker!kuleni gwala kokote mliko aisee.mkuu red author wa "the tipping point" ni nani?