Siendi Mkoani Ng'ooo!! Dar es salaam is the future! Mikoani ni didimizo la uchumi binafsi

Siendi Mkoani Ng'ooo!! Dar es salaam is the future! Mikoani ni didimizo la uchumi binafsi

Sipo mbali sana na mtoa hoja lala 1 maana unapoongelea kuhusu busness uwezi kuacha kupataja dar unapoongerea kuhusu masoko makubwa na yenye bei nzuri ya uhakika kuhusu kupata big vision dar kujifunza n.k dar hapakwepeki ila unapozungumzia reproduction areas mikoani hapakwepeki maana uwezi kuchimba dhahabu kariakoo au kulima pamba na kahawa posta kwahio kwa mtazamo wng mimi nitakuwa na maono na kutafuta masoko dar ila katika kutimiza ndoto zangu mikoani hapakwepeki ila kama unataka kuendelea kuishi maisha ya imagnation kwa kujiona kama beyonce au kama jay z wakat upo kwa mtogole au jangwani sawa dar usitoke
 
mkuu mwaka huu nimesoma kitabu kimoja kinaitwa 'the tipping point" kuna chapter inaitwa the rule of few. inaelezea kwamba asilimia 80 ya kazi hufanywa na asilimia 20 tu ya watu!!. hivyo hivyo hata fursa na utajiri wa nchi yetu unaonwa na watu wa chache sana. kama mtu haoni inatakiwa kumuonea huruma sana. mtoa mada nae ni mtu wa kuonewa huruma. hebu muulize madini atachimba dar?, viwanda vya sukari atajenga dar?, kahawa atalima dar?, akitaka kuanzisha kiwanda cha kauri atajenga dar?, akitaka kulima chochote je atalima dar?, akitaka aanzishe steel industry siku moja aje kuwa kama mukeshi ambani ataanzisha dar na amesema hatoki?. tukubalieni tu kitu kuna wengine genes make up zao zinawaruhusu kuwa watumwa tu na kufanyia kazi wengine na ndio maana wanaangaika kukusanya mavyeti wakijua vitawalinda kwa ma master wao.

tunahitaji vichwa kama hivi ili nchii ipige hatua ongera sana mkuu ubongo wako upo vizuri
 
A LARA1 CODE MIXING style,napenda haka ka style mana kanachangamsha.
NARUDI KWENYE MADA.
kimsingi dar ni nzuri kibishara.
UKWELI MWINGINE.
mafisadi wengi na biashara zao wapo hapa,NGO za wapiga hela,millions and millions wapo hapa,wauza sembe wapo hapa,biashara za wizi wizi zipo hapo.
KILICHOPO DAR SIYO CHALLENGE KUBWA ZINAFANYA WATU WATOKE.
mfumo wa uendeshaji wote wa nchi nzima upo Magogoni na dar es salama,kila kitu kinafanyika dar but not challenge as a reason,wizi wote wa mafisadi na mipango ya madili ya tenda za ujanja ujanja vyote hapa hapa bongo.HAPA dar WATU WANAIBA ZAIDI YA MAXMUM.
KITU KINGINE.
watu wanatengeza hela mikoani lakini wanakuja kujenga dar,kwa hiyo siyo kila aliyejenga hapa dar kapata hela dar,MFANO.kuna mtu analipwa 30ml buzwagi na huyu siyo mwenye mshahara mkubwa kupita wote,watu kibao wanafanya kazi buzwagi,GGM,bulyankulu,mwadui LAKINI WANALALA DAR kila siku NA ASUBUHI WANAAMKIA SHY NA GEITA,nao wamejenga dar kwa pesa ya nje ya dar.
KAMBI KAMA INALIPA POPOTE PIGA,KUJENGA DAR.

umemaliza yote yani ni kama kula Ccm kulala ukawa
 
Ulichosema ni kwel hata me nina ushuuda mkubwa sana coz nimezaliwa hapa nimesoma hapa na kaz nafanya hapa yani hata kijijini huwa naenda mwezi wa 12 tena kwa matukio maalum. Dar,arusha ,kilimanjaro,mwanza, ndo kila kitu

utaendelea kuwa mchuuzi dar mpaka unakufa, rejea shahiri la darasa la 4 ukitaka mali yapatikana shambani mmejazana dar kufanya vitu ambavyo haviadd value ndomana shilingi yetu inashuka
 
1.Cpa hata mikoani zipo nying tu skuiz(what matters is experience n competece, unaeza kua cpa uko mjin serikalini unashindia kuingiza voucher kweny system wkt cpa mwenzako yuko un kigoma anapata int experience )
2 . kusoma masters cjui phd sio kigezo cha kukupa pesa

3 . inategemea na huyo alieko mkoani ana akili gani, b'se if he or she is a brighter person mikoan kuna opportunities nyingi sana kuliko town (walioko huko wanajua namaanisha nin )
4 . kama mjin kungekua dili sna all billionaires would be based in New York and not silicon valley or else where
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!



Kumbe Dar si mkoa atiii?
 
ni mtizamo wako baki hivo hivo

Mkuu kuna watu wanasema mvaa kaniki akiona nguo ya rangu anachekelea sana.

Baada ye kwenda mikoani, kuona Arusha, Mwanza Mbeya na Kilimanjaro, nilisema i wish and will always wish to live there. Watu maadili mazuri hata kulea watoto unakuwa na amani, hapa Dar ni city uwanja wa fisi like. Isingekuwa economic opportunities, hakuna mtu aliyeenda shule angekaa hapa.
 
Ila tuache utani mjini kuna hela jameni,hebu angalieni na hii:

1. Maduka mengi ya kko haswa haya ya nguo ni kwamba mauzo yao kwa siku mahesabu ya chini kabisa ni 3m. Pia inajulikana kuwa fomula yao ni faida huwa haipungui 100%,sasa kwa mauzo hayo ya chini kabisa na ninaambiwa huwa wanakuwa na maduka zaidi ya 2 jipigie mwenyewe faida yake kwa mwezi;

2. Nimewahi kuwauliza wavuvi wa samaki ferry ni kwamba wanapoenda chimbo ambapo huwa hawachukui siku zaidi ya wiki,wakirudi pesa inayopatikana ya tajiri peke yake haipungui 10m na wao ni hivyo hivyo tajiri mmoja ana boti/mitumbwi zaidi ya minne. Hebu jipigie faida yake kwa mwezi; na

3. Kwenye sekta hiyo hiyo ya uvuvi pale ferry kuna watu wanauza zile barafu ambazo mahitaji yake ni makubwa sana kuliko uwezo,barafu za kilo 50 zinamuingizia supplier faida isiyopungua 3,000/- na ni kwamba mahitaji kwa siku ni wastani wa barafu 2,000. Suppliers walipopo ni wachache wenye uwezo mdogo,sasa kwa anayeweza sambaza barafu 1000 kwa siku hebu niambie pesa yake kwa mwezi.

Kama ni viwanda mtu aniambie ni mkoa gani wenye viwanda vingi kuliko dsm.

Kama ni uwekezaji mikoani ni dhahiri matajiri wengi wa dsm ndio wawekezaji na huko na sio matajiri wa mkoa wamewekeza dsm.

Mjini pesa mingi kuliko mkoa.PERIOD
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!

Lara 1 ww ni noma sn una point nzr sn ila unaandika ndeeeeeeeeefu barabara ya morogoro imecngiziwa:-D
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!

wewe kademu lara 1 una akili sana wewe na kwa hakika mimi pia siendi mikoani, lazima nibanane hapa-hapa MBEYA CITY

.made in mby city.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni dalili nzuri kwamba watanzania wengi ni wa hapa hapa.Dar nini bhana!huku mikoani kuna wengi tu tena wafanyabiashara wa kawaida sana dili zao international.We jidanganye uje na sijui CPA yako hapa bila euro halafu udhani eti watu watakuheshimu,hiyo kitu haipo!Sana uanze kuibia wananchi tu halmashauri zetu,ama utoe mikopo benki kwa rushwa.Wapo wengi tu mikoani kwenda kla,Nairobi,Dubai ni kama kwenda kariakoo na posta tu hapo Dar.Tofauti ninayoiona sasa,kutokana na spirit kama hii hasa kwa wasomi waliosoma udsm,wengi wamekuwa majizi wa pesa za serikali na kurudi Dar kutambiana eti mnashindana maisha.Mipango mingi imekuwa ikikamua sana watu wa mikoani na kupelekea mapato mengi yabaki Dar.Siku mfumo mbaya wa uchumi uliopo ukivunjwa,wengi mtakuwa maharamia.Ukipima uelewa asilimia kubwa ya watu wa Dar hawajui kwa nini wanaishi,wengi wanadhani ni mashindano ya Olympic!kushindana uzinzi,kushindana ulevi,umaarufu,ujuaji(wakati hakuna lolote)wenyewe mnaita ujanja!Kushindana vyeti wakati wengine wanashindania elimu,kujifanya wazungu kumbe ni utumwa tu,kujiona mna akili na watu muhimu sana(dellusion of glandeur).Saw jifarijini.Muda unakuja,nao upo,mfumo utabadilika na umeanza kubadilika.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hatimae utabiri umeanza kutimia mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom