Siendi Mkoani Ng'ooo!! Dar es salaam is the future! Mikoani ni didimizo la uchumi binafsi

Siendi Mkoani Ng'ooo!! Dar es salaam is the future! Mikoani ni didimizo la uchumi binafsi

IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!

Watu wapo tofauti tofauti
Kuna watu wao wanafikri hela is everything, they can do whatever to get rich, wanaweza hata ku-compromise diginity yao simply because of money. Those are kind of people you talk about

Lakini kuna watu wanafikiria humanity in first place, wako radhi na kisomo chao cha hali ya juu labda daktari aache kufanya well pay job Dar,Nairobi, US or wherever you name it wakaenda kusaidia watu kijijini huko Mpanda au Nkasi kwa mshahara wa kutosha kula chakula na kupanga nyumba ya kuishi. Hivi hao watu wanaojitolea wakati mwingine pesa from their own pocket waende kusaidia kufundisha shule, zahanati n.k pale kijijini kwenu unaweza kuwaona kama ni washamba fulani hivi???

Je kila msomi/mtaalamu aamue kubaki kufanya kazi majijini Dar,Ar etc hao watu wa mikoani watapata wapi huduma??

Nafikri ni vema tujiulize, what is life, na nini tunahitaji kwenye maisha yetu, je tunataka tupewe sifa kuwa jamaa ana mawe hatari, au jamaa anaendesha ndinga ya bei mbaya ay jamaa kajenga kitu ya heshima?? nini haja ya maisha yetu??. Hivi ukipewa pesa zote za BOT mfukoni mwako ndio utajawa na furaha na amani??? Hivi inakuwaje matajiri ukwasi wanajiua, au hawana raha???

Money can't buy Happiness. Happiness and Love is everything humanity lack
 
Lara, unachosema is correct,ningekuwa dsm nahisi ningekuwa na digrii za aina tofauti tofauti nne plus masters za kutosha.
Issue inakuja kwamba umemaliza chuo, umeingia mtaani kusaka kazi (huko dsm) umetafuta weee but where lakini muda huo huo kuna mavacancy ya kutosha mkoani especially kwenye halmashauri labda na kwenye mabenki; je utaacha kuyachangamkia (ukizingatia umeshasotea kazi kweli kweli). Kwa hiyo most of the time uwepo wa mikoani ni kutokana na circumstance kama hizo. Hapo kumbuka ushakaa kwa ndugu mpaka wamekuchoka maana you are no longer productive kwao bali unawaongezea maexpense tu.
Wakati natafuta kazi nilikuwa natumiwa hela za matumizi na wazazi Shs.30,000/= ambazo natakiwa nitumie mwezi mzima wakiassume kwamba nakula na kulala bure kwa ndugu, sasa hiyo 30 itoshe nauli ya kwendea mjini, kununua bahasha na karatasi za kuandika barua za application na ununue tugazeti humohumo uone hizo nafasi za kazi na itoshe. Nilivyopata kazi na kupangiwa mkoani nilitimua fasta bila kuangalia nyuma.
Imagine nina miaka sita kazini this year ndo naenda kuattempt CPA exams.Kumbuka, siko mkoani tena bali wilayani

Can somebody come out with what to do kupata changamoto hizo hizo hata ukiwa mikoani?
 
Pole.

I hope you are getting back in the swing of things.

Panga game vizuri tu. Hata hapo Dar unaweza kuibua issue wakati unajipanga ukaghairi safari kabisa.Si unaona wakulu wenyewe hawaishi kupishana?

Mara Obama,mara Bush, mara Clinton, mara rais wa China, mara Waziri Mkuu wa Thailand, mara Tony Blair, mara Oprah. Na wengine wanaokuja chini kwa chini ndo usiseme.

Hahahaha si mchezo lazima tubanane
 
Lara 1 nowadays sky is no longer a limit,..may be ur last breath,if u say sky`s the limit,then u psychologically pre-condiion urself kwamba nikipata benz baaaaasi,
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!
 
Bora nirudi zangu kijijiini nikakate mkaaa, maisha haya siweziiii * 2

Huu wimbo aliimba nani vile?
 
Lara 1 nakukubali kwa michango yako ya kuelimisha jukwaa hili. Nakubaliana na wewe kwa kiasi Fulani fursa na changamoto za Dar zinaleta maendeleo ukizitumia vizuri, lakini kwa upande wa pili changamoto hizi hizi ni kikwazo sana kwa maendeleo yetu: nyumba na viwanja ni ghali sana, vyakula, matibabu, usafiri ukichangiwa na foleni zisizoisha na starehe na anasa kama ulivyoelezea kwenye ile thread nyingine. Faida zake kama ulivyosema ni msukumo wa kutafuta zaidi, chance na nafasi za kusoma zaidi vyuo nk. Lakini fursa hizi sio kwa kila mtu mfano wengine wanaajiriwa akiwa na malengo ya kukusanya mtaji ajiajiri, kuingia gharama ya kuishi jiji hili nadhani sio faida kwake maana kila kitu ni gharama kubwa mno, hata akitaka kuanza kuwekeza anahitaji mtaji mkubwa sana. Kuwa mikoani ni kweli kutokuwa na changamoto, access ya vyuo, mawasiliano na mzunguko mdogo wa hela inaweza kuwa kikwazo lakini pia fursa ni nyingi tu sawa na huku. Aliye mkoani siku hizi kuna online course, kuna open university na pia vyuo vingi vimefungua matawi mikoa mikubwa kama Mwanza, Arusha. Kila mtu anapaswa kuzitumia changamoto zinazomzunguka kama fursa...mikoani ardhi ni nafuu hat ya kukodi tu kwa miaka chache unayokaa, nyumba utakaa kwa gharama nafuu na mazingira tulivu, shule na matibabu na usafiri ni rahisi ukilinganisha na Dar hivyo kukuwezesha ku save hela kwa ajili ya kuwekeza. Mikoani kuna mbuga za wanyama, utalii mtu kufanya biashara kama hotel, tours. Baadhi kuna madini kuwekeza kwa kiwango chako au kumiliki vitalu. Kuna ardhi yenye rutuba na nafuu na pia manpower kama unapenda kufanya kilimo au ufugaji. Changamoto kubwa ni ukosefu wa soko ambapo sasaivi miundo mbinu mingi inajengwa. Udogo wa mikoani unakufanya uwe na urahisi wa kupata mikopo, kipaumbele na fursa nyingi hata mtu mwenye ajira au mtaji na kipato cha kawaida tofauti na huku Dar vigezo na masharti kibao. Mimi nimekulia Dar-mikaoni- Dar lakini katika ajira nimezunguka karibia mikoa yote ya Tanzania isipokuwa 3 tu, nikiangalia fursa ziko kote sawa tu, ni wewe mwenyewe jinsi gani unajipanga. Hata hizo ajira za sijui UN etc ziko hadi huku mikoani ukienda wamejaa tele.
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!
bado sijaelewa kwahiyo Dar sio mkoa au kunanchi inaitwa Dar???nikukumbushe tu au kukufahamisha nilivyosoma hii post yako mojakwamoja wewe ni mzawa wa Dar hizi story za nje ya hapo mkoa wa darslam unazipata kupitia kwa watu waoga wakidar walioishi katika baadhi ya hii mikoa ,kwa taarifa yako kuna watu huku ni paper chaser zaidi ya ujuavyo kuanzia kwa mabusiness man mpaka waajiriwa na daily tunapigana vikumbo hapa JKNIA kupanda flight kwenda abroad tatizo udaslam unawachanganya na kujiona ya the top of everything in TZ..kwa habari yenu hata mnaotuita wa mikoani tunajua kuspend na kuzimake hizo nyekundu,even Benjamini,tokeni huko kwenye joto hasira mje huku kwa wataftaji na wapiganaji like Mwanza(Economic zone),Arusha,Mbeya..
 
Hahahaaaaaaaaaaa! Thinking is freee!!!!!!!!! Mie hapa sina cha usomi, wala hata 100 sina mission town tu. Wala sipendi pesa! Bt it doesnt mean nayosema ni ya uongo ama hayapo!!!!!!!!!

Afu natoa stori za watu wenye pesa upate INSPIRATION, ningeandika jirani yangu afisa TRA kanikopa misimbazi miwili ungeendelea kusoma hii habari? LOL! Wote tuna shida sema tunajifunza kwa waliotoboa!

BTW mi sina nyodo yoyote coz sina hata 100 bank! Nimechokaaaa!

Kikubwa nilichokiona kwenye thread yako ni kujibu swali ambalo hatujakuuliza(Siendi Mkoani Ng'ooo!!!!!!!!! DARESALAAM IS THE FUTURE!!!!!!),secondly unasema mfukoni/benki huna hata mia,what does this mean? Kwa hiyo Dar unaishi kama omba omba halafu wakati huo huo hutaki kwenda mikoani kutafuta maisha ya kujitegemea. In short facts ulizotoa hapo juu ni ngumu sana kwako ku-achieve,
 
Kikubwa nilichokiona kwenye thread yako ni kujibu swali ambalo hatujakuuliza(Siendi Mkoani Ng'ooo!!!!!!!!! DARESALAAM IS THE FUTURE!!!!!!),secondly unasema mfukoni/benki huna hata mia,what does this mean? Kwa hiyo Dar unaishi kama omba omba halafu wakati huo huo hutaki kwenda mikoani kutafuta maisha ya kujitegemea. In short facts ulizotoa hapo juu ni ngumu sana kwako ku-achieve,

Psheeeeeeeeeeeeew!!!!!!!!! You must be crazy or something! Si bure!
 
Ungekuwa Mzungu wewe! Kumbuka Industrial revolution, ndo uje na mibangi yako hapa!

HAHAHAAAAAAAAAAA! (Nimecheka kwa herufi kubwa! Take note!) JOTO HASIRAAAAAA Limekukaba kooni! We lima tu huko kwenye kata maana hata wilayani unakusikia, sie tutanunua bana!

DONT HATE THE PLAYER! HATE THE GAME!!!!!!!!
 
Psheeeeeeeeeeeeew!!!!!!!!! You must be crazy or something! Si bure!

Kwa maoni yangu naona wewe ndo utakuwa crazy,kwa kuwa mwanzo kabisa mwa thread yako unasema: Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni. Hivyo nilitarajia ujibu points/hoja zangu ambazo ni nzito kwa kutumia hoja nzito na siyo kama ulivyojibu hapo juu. Tuyaishi kwa vitendo yale tuyanenayo mbele ya jamii na si vinginevyo!!!!
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!

Ni kweli kabisa nakumbuka mwaka 2005 kuna jamaa mmoja msukuma kutoka Mwanza sijui Shinyanga alikuja Dar kwenye msiba wa ndugu yake, tuliye ishi wote jirani,huyu jamaa alikuwa mwalimu wa shule ya msingi, jiji lilimkolea so akakaa kwa kama wiki mbili zaidi, alitokea kunizoea zoea so nikawa namuonyesha jiji, siku moja akaniambia anataka kunipa dili, nikamwambia powa nipe, akasema ana mtihani wa darasa la nne (mtihani wa taifa) anataka anipe nimsaidie kutafuta wateja, nikamwambia siwezi, ila kama anao wa form two au form four alete, basi akaenda kumpa hilo " dili kichaa" mwalimu mwenzake mjaluo wa Rorya. After three days jamaa akanifuata ananiambia. " I SAY MWANANGU!!! LILE PEPA SI NILILIUZA!!! NIMEPATA HELA NYINGIIIIIIIII SANAAAAAAAAAAA! I SAY HUWEZI KUAMINI!!! HE HE HE !...Nikamuuliza Sh. ngapi, jibu lake: ELFU KUMI NA NANE! Nilimdharau sana. Hata hivyo Lara1 inabidi kuwe na exemption hapo coz baadhi ya mikoa changamoto ni kubwa kama au kuliko Dar Es salaam. Kwa mfano Arusha, accoding to my opinion, mtu anaye safiri kutoka Dar Es salaam kwenda Arusha ni sawa na mtu anaye safiri kutoka New York kwenda Los Angeles. Hakuna tofauti sana, labda hali ya hewa na lafudhi za watu.
 
Kwa maoni yangu naona wewe ndo utakuwa crazy,kwa kuwa mwanzo kabisa mwa thread yako unasema: Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni. Hivyo nilitarajia ujibu points/hoja zangu ambazo ni nzito kwa kutumia hoja nzito na siyo kama ulivyojibu hapo juu. Tuyaishi kwa vitendo yale tuyanenayo mbele ya jamii na si vinginevyo!!!!


This is OUTRAGEOUS!!!!!!!!! Mimi nimeeandika thread yangu GENERAL TU! Sasa all of a sudden, out of the blue you know me na ukaenda mbele zaidi KUNIITA OMBA OMBA (As if nimewahi kukuomba hata 10 yako) na mambi kibao PERSONAL kuhusu mimi na hukujigusa kuijadili mada hataa ila ukakomaa na mimi mtoa mada! Sasa mi nishakuona hauko vizuri, so kwa kukuelewa sitaki malumbano na wewe manake na mimi nitaonekana kuna nati zimelegea bureee!


Hapo nilipobold MIND YOU, YOU DONT KNOW SHIT ABOUT ME SO HOW CAN YOU EVEN IMPLY THAT I DONT LIVE WHAT I PREACH?????!!!!!!!! If shit aint happening for you it doesnt mean it isnt happening for everybody.

OK BYE!
 
Born in Dar,risen and studied got a chance kuja Mkoani n i never regret na niliowaacha bado wapo nikija wao ni kunielekeza viwanja vipya of which age hairuhusu tena kuzurura usiku!!!!!

Jamani maisha ni gaps ukilifumania na ukawa na capital basi ndo imetoka tena!!!! Utazuka ubishi hapa mpaka basi hivi lara1vijana wangapi wanapush hizo Q7, Vogues na mengine kama hayo!!!!!

Inategemea unawekeza katika sekta gani ila kwa ukweli hapo Dar maisha ya kupanga Sinza au Kijitonyama,Magomeni au Kinondoni na kumechisha makochi na mapazia na kuta za ndani yanadukaza sana vijana wengi kwani gharama ya kuendesha maisha ni kubwa sana people are almost suffocating ila wanapenda tai na white shirts!!!!!

Mliobaki Dar well and good if and only if mtu ana qualitative and quantitative development,lakini kupaki BMW sio ishu asilani ni affordable saaaaana ila tu mkoani mafundi bado kama Dar na spare hakuna kwa wingi kama Dar sasa kama tunapima maendeleo kwa presence ya c200 barabarani haya keep recording!!!!!

Dar runs the country but again the engine belongs to few moguls wengine washereheshaji tuuuuu!!!!!!!Tena wengi
masikini wanapark bar kusubiri foleni iishe ndo waendelee na safari za home!!!!

Dar inaendeka tu much as mingo imekaa vizuri you go have fun with folks and old buddies then back to production point to roll the dices!!!!

Badilikeni wandugu hapo pananyonya sana kwa wengi ila kwa sababu bank ballance ni siri ya mtu then kifo cha tai shingoni!!!
 
[/B]

This is OUTRAGEOUS!!!!!!!!! Mimi nimeeandika thread yangu GENERAL TU! Sasa all of a sudden, out of the blue you know me na ukaenda mbele zaidi KUNIITA OMBA OMBA (As if nimewahi kukuomba hata 10 yako) na mambi kibao PERSONAL kuhusu mimi na hukujigusa kuijadili mada hataa ila ukakomaa na mimi mtoa mada! Sasa mi nishakuona hauko vizuri, so kwa kukuelewa sitaki malumbano na wewe manake na mimi nitaonekana kuna nati zimelegea bureee!
Hapo nilipobold MIND YOU, YOU DONT KNOW SHIT ABOUT ME SO HOW CAN YOU EVEN IMPLY THAT I DONT LIVE WHAT I PREACH?????!!!!!!!! If shit aint happening for you it doesnt mean it isnt happening for everybody.
OK BYE!
Calm down lara 1, hakuna sehemu yo yote niliyoandika kuwa ninakufahamu wewe,nilikuuliza kwa kuwa wewe unasema huna hata mia mfukoni/benki hiyo inamaanisha nini kwetu sisi wasomaji wa hii post? Kwa hiyo ukitazama comments zangu kwenye hii thread utagundua kuwa hii post yako ina maswali mengi kuliko majibu,so nilihitaji clear elaboration then tuweze kujadili vizuri.
 
Last edited by a moderator:
lara 1 , wengine tumezaliwa, nimesoma na tumeanza kazi Dar na tukasema hivyo hivyo (Dar mimi siondoki) ila siku ya siku unaambiwa hebu nenda mkoa ukafatilie kazi inaendaje? Huko huko unapotea.

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! Sio kweli, kuridhika ni mtu na mipango yake sio mahali ulipo.

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADL! Hata mm nilivyotoka chuoni nilidhani hivyo hivyo. Nikakuta watu kibao wa MSc ofisini mpaka nawaza nikasome tena na mm.

3. Life is damn expensive!!!!! Hiyo ni kwasababu ukiwa Dar unatengeneza laki 6 kwa siku then matumizi ni laki 4 na nusu (faida laki 1 na nusu) wakati mkoani unatengeneza laki 3 then matumizi elfu 80 (faida laki 2 na elfu 20). Kwasababu dhamani ya pesa ni ile ile wa mkoani kapata faida zaidi.

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Fursa ni utafutaji wako wa hizo fursa sio kukaa kizembe Dar then unasema hapa kuna fursa.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! Na hapa tena, dreaming is a state of mind sio state of "presence". Akili ikiwaza makubwa basi itawaza tu haihitaji kuwa Dar ili kuwa na VISION KUBWA!

My take: Kama ulivyosema, . . . MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka. Mwanzo ulipatia then hapo mwishoni ukakosea. Kama hilo ni kweli, basi Moshi ingekuwa sehemu yenye watu WOTE ni matajiril kwasababu watu wanaojua kutafuta hela sana wako pale (Wachagga) lakini sio kweli kwasababu USIPOKUWA NA AKILI YA KUTAFUTA HELA (kama Mchagga) HUWEZI KUWA TAJIRI KWASABABU TU YA KUKAA MOSHI. Upo hapo?
 
Calm down @LARA1, hakuna sehemu yo yote niliyoandika kuwa ninakufahamu wewe,nilikuuliza kwa kuwa wewe unasema huna hata mia mfukoni/benki hiyo inamaanisha nini kwetu sisi wasomaji wa hii post? Kwa hiyo ukitazama comments zangu kwenye hii thread utagundua kuwa hii post yako ina maswali mengi kuliko majibu,so nilihitaji clear elaboration then tuweze kujadili vizuri.


Hio sina hata mia sijaisema kwenye main thread! Nilikuwa nataniana na mdau hapo kati!!!!! NDIO MAANA YA KUMQUOTE MTU! IT MEANS THE INFO YOU ARE PROVIDING NI SPECIFIC KWA HUYO UNAYE MQUOTE!!!!!!!!!! Ningetaka kusema sina mia kwa uma kama unavolazimisha ningesemea kwenye Main thread!

And what surprises me, all the elaboration you seem to require isALL ABOUT ME the author and NONE ABOUT THE THREAD! Its a bit strange dont you think?
 
Hio sina hata mia sijaisema kwenye main thread! Nilikuwa nataniana na mdau hapo kati!!!!! NDIO MAANA YA KUMQUOTE MTU! IT MEANS THE INFO YOU ARE PROVIDING NI SPECIFIC KWA HUYO UNAYE MQUOTE!!!!!!!!!! Ningetaka kusema sina mia kwa uma kama unavolazimisha ningesemea kwenye Main thread!

And what surprises me, all the elaboration you seem to require isALL ABOUT ME the author and NONE ABOUT THE THREAD! Its a bit strange dont you think?
lara 1 naona kama unazidi kujichanganya,kama suala ni kutaniana nilitarajia mwisho wa hiyo comment ya huo utani uweke neno LOL(Lough not loud). Kumbuka sisi kama wasomaji tunafuatilia thread mwanzo mwisho ili kupata kitu chenye manufaa kwa Taifa letu. Kindly,elewa tu kuwa kutokana na wewe kuleta thread zenye kuhusu maisha ya Tanzania,so nataka next time uwe makini,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom