MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
.
mnh hayo maji ya visima ni salama hapa? au bado utahitajika kununua yale masafi ya ruvu....mmnh
Maji ya drilling ndio yanayotumika sehem kubwa ya dar..
Wengine tangu tunazaliwa hadi tunaanza maisha hatujui maji ya dawasco...
Sio drilling za kubahatisha, unaita chuo cha maji pale udsm.. Unawapa million zao kadhaa wanakutolea kisima mwenyewe utafurahi.. Unafikiri mahoteli yote makubwa unayokwenda wanatoa maji dawasco.. Dawasco inasua sua tu kuliko tanesco nani anaitaka maji ya mgao...