Sifa hizi ukiwanazo huimarisha mahusiano yako na jamii yako pia na Mungu

Sifa hizi ukiwanazo huimarisha mahusiano yako na jamii yako pia na Mungu

a sinner saved by Christ

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
611
Reaction score
993
1)UNYENYEKEVU
Kuacha kujiona wewe ni bora na mwenye thamani na umuhimu kuliko wengine/wenzako.
Kuacha majivuno,kiburi na dharau.

2)KUTOHUKUMU WENGINE.
unapokuwa unanyooshea wengine kidole kuwahukumu ,mkono wako huo mmoja wenye vidole vitano,ukimnyooshea mtu kidole shahada kimoja, vidole vyako vingine vinne vilivyobaki vinajikunja kurudi nyuma vikukunyooshea wewe mwenyewe.

3)KUSAMEHE
Tafuta kuwa na amani na watu wote .Hasa wale wanaotuudhi
.Usimbebe mtu moyoni mwako
.Moyo wenye kinyongo unatengeneza ugonjwa.Samehe na sahau.

4)KUEPUKA KUONGEA SANA
Kabla hujafungua kinywa chako kutamka maneno,Chuja maneno mana ukishayatamka hayarudi tena kinywani.Epuka mizaha(utani utani).Kama huna kitu cha kuongea cha muhimu na cha kujenga na kubariki wengine ni bora kunyamaza.

images - 2024-10-06T221017.309.jpeg
images - 2024-10-07T063229.772.jpeg
 
moyo safi usio na kinyongo na uliochangamka.
 

Attachments

  • Screenshot_20241010-213236.jpg
    Screenshot_20241010-213236.jpg
    262 KB · Views: 4
  • download (4).jpeg
    download (4).jpeg
    11.7 KB · Views: 6
hakuna aliyemkamilifu
 

Attachments

  • images - 2024-10-10T214426.195.jpeg
    images - 2024-10-10T214426.195.jpeg
    25.3 KB · Views: 6
  • download (1).png
    download (1).png
    4.5 KB · Views: 6
matamshi.
 

Attachments

  • images - 2024-10-10T215157.839.jpeg
    images - 2024-10-10T215157.839.jpeg
    15.4 KB · Views: 5
  • Mithali-17-28-SWHULB-Hata-mpumbavu-hudhaniwa-kuwa-na-busara-kama-I20017028-L07.jpg
    Mithali-17-28-SWHULB-Hata-mpumbavu-hudhaniwa-kuwa-na-busara-kama-I20017028-L07.jpg
    115.3 KB · Views: 6
Back
Top Bottom