Rjohn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 613
- 128
Habari! wapendwa!
naomba mnifahamishe nna dev 3 ya 16 form 6 mwaka 2010 nikaenda college diploma ualimu nimemaliza mwaka huu nna pass ya 2.8
tatizo wananambia sitaweza ingia chuo kikuu kupitia chet cha diploma kwavile alama ndogo had ningekuwa na kuanzia 3.0 so guys nipen mnachofaham kuhusu hilo jambo
naomba mnifahamishe nna dev 3 ya 16 form 6 mwaka 2010 nikaenda college diploma ualimu nimemaliza mwaka huu nna pass ya 2.8
tatizo wananambia sitaweza ingia chuo kikuu kupitia chet cha diploma kwavile alama ndogo had ningekuwa na kuanzia 3.0 so guys nipen mnachofaham kuhusu hilo jambo