Hatupendi kujinyima tunakula vizuri na tuna miili yenye afya njema hakuna mwenye afya ya mgogoro, misosi ndo nyumbani kwake kwa mnyakyusa. Ardhi ya Mbeya inakubali kwa kila mazao ya chakula na mifugo. Kitimoto kwa sana
View attachment 169443View attachment 169444View attachment 169445View attachment 169446
Kyala atupele tulyege itolo.ahahahahaaa momumo nkamu gwangu uswe tukuti linga filipo lyagha
Kuna Mnyakyusa mweupe?
Hakuna kabila lenye watu wanafiki kama wanyakyusa na wahaya
Labda wa kujichubuaaa
Wengi wana undugu na lupita Nyong'o
Pia sifa yao nyingine ni walevi sana!
hahahahha mbavu zanguu mimiwengi wana undugu na lupita nyong'o
Hahaaa..umeua..hii ndo keep left nini?asili yao Morogoro huko maeneo ya ifakara
Madada zetu hawana nongwa na mtu lkn lzm wakujue unapotoka;Kwa mgeni atakusumbua siku angalau 2 ndiyo aje gheto kwako ahahaha
By PesaNdogo
Mgawanyiko wa Wanyakyusa
Wanyakyusa toka zamani walijulikana kama watu wa Konde. Wengi walikuwa kaskazini kwa ziwa Nyasa, lakini katika harakati za maisha na mabadiliko ya mazingira wengi wao wakakimbilia Mbeya mjini na sehemu nyingine.
Pamoja na hayo, hasa Wanyakyusa wapo wa aina mbili nao ni Wanyakyusa wa Tukuyu na Wanyakyusa wa Kyela.
Sifa za Wanyakyusa wa Kyela
1. Wengi si wapole mtu afanyapo kosa
2. Wacha Mungu
3. Wanajua kupenda
4. Hawapendi dharau
5. Wanapenda kujulikana (hasa kama wamesoma hadi kupata digrii n.k.)
6. Wapiganaji sana kimaisha
7. Wana wivu katika masuala ya mapenzi
8. Wanapenda haki itendeke, hawapendi ubabaishaji
9. Ni watu shupavu sana kwenye kazi za kujitolea hasa za kijamii
Sifa za Wanyakyusa wa Tukuyu
1. Wapole
2. Wacha Mungu
3. Wanajua kupenda
4. Hawapendi dharau kabisa
5. Wanajituma kwenye kazi, hasa kilimo
6. Wana wivu sana
7. Wanapenda haki itendeke na hawapendi ubabaishaji
8. Ni watu jasiri na wasioogopa vitisho
9. Ni werevu
hii imetoka wikipedia Wanyakyusa - Wikipedia, kamusi elezo huru
Mawenzi, IGWE and ladyfurahia like this.
apo kwenye red si kweli wengi ni wabaguzi kama si mnyakyusa wanakubagua usiombe uwe na bosi mnyakyusa kwanza anawajaza ofsni dn anawapa upendeleo bila vgezo bora wachaga wanabeba mwenzao mwenye vgezo na akshaingia kazin kumantain kazi ni jukumu lake mfano ofsn kwangu ni bosi mnyakyusa nataman nimchape bastola sku si nyingi ni kamama kapuuz sana