MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,065
Hatupendi kujinyima tunakula vizuri na tuna miili yenye afya njema hakuna mwenye afya ya mgogoro, misosi ndo nyumbani kwake kwa mnyakyusa. Ardhi ya Mbeya inakubali kwa kila mazao ya chakula na mifugo. Kitimoto kwa sana
View attachment 169443View attachment 169444View attachment 169445View attachment 169446
ahahahahaaa momumo nkamu gwangu uswe tukuti linga filipo lyagha
