Wana dharau sana watu wengine wasio wanyakyusa Hii ipo sana kwa wanyakyusa wa kyela ambapo wamefikia hatua watoto wa kike wa kyela hawawezi kuzaa na mgeni ww kama ni mgeni una demu wa kyela utaishia kula raha tu ila suala la mimba halipo
Babuji umeongea kitu, pia wana misiba mingi kuliko muda wa kufanya kazi na usipoenda msibani hata kama ni wa mtoto wa shangazi yake na mjomba wa binamu aliyemzaa bibi mzaa sijui nani ni faini. Kwenye misiba sasa ni fair play hakuna kunyimana maana wao wanasema wanakua wanafarijiana. Wana dharau sana watu wengine wasio wanyakyusa Hii ipo sana kwa wanyakyusa wa kyela ambapo wamefikia hatua watoto wa kike wa kyela hawawezi kuzaa na mgeni ww kama ni mgeni una demu wa kyela utaishia kula raha tu ila suala la mimba halipo. Ni wabishi sana na hawakubali kushindwa bila kusahau wanaume wa kinyakyusa wengi wao ni wavivu wanategemea wanawake kuwatunza hii imepelekea wanawake kuwa wachapakazi kuliko wanaume na ndio wenye control ya nyumba huku. Hapa nazungumzia wanyakyusa halisi sio hawa wanyakyusa wa darisalama
wanatokea mkoa gani hawa....?
oh.....washington DC
wako stable na wanawake wako strong zaidi
Sifa nyingine wanapenda sana Kitimoto.
Inongwa isi usyagile kuguu MWABUJIBUJI
mwinangu mbimbile imbeju tukabhaile kukaja tunwegwe na nanuswe loli tunyafu utundu utu (soda)
kuhusu maumbo ni kweli bana wanyakyusa wengi ni masimtank
Wasalipa bujibuji
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
mfano halisi ni waziri DR H. Mwakyembe, (huyu alisema yeye haogopi kitu chochote yuko tayari kujitoa mhanga kwa kazi yake aifanyayo @Dr Mwakyusa wa MHC, na Waziri Mark Mwandosya hao ni baadhi tu ya wafanyakazi bora Tanzania na hawaogopi mtu.
kaka hapa umenigusa sana nimepaste: UMOJA ni sifa nyingine ya msingi: Si msibani tu Wanyakyusa wakoPAMOJA sana kwa kila kitu. Hata mgonjwa akisafirishwa hadi kwa mganga au hospitali kwa kushirikiana (palutato) wanashirikiana pamoja, Uzalishaji mali ndiyo usiseme- Walilima/wanalima kwa pamoja (INDUULA/INDIMYA), na ng'ombe walichunga/wanachunga pamoja (ULUTIIMO),mambo ya furaha kama harusi ndo usiseme,yaani wanahakikisha kwa umoja wao sherehe inafana.
kweli miss strong, kuna kabinti ka kinyaki nakavizia, hebu nipe tips huwa wanapenda vitu/watu wa namna gani? LOL
Ukikatoa out we agiza ndizi mbalaga afu dizaini papuchi zao fupi afu tamu hasa uwakute wale wenye mpododo dizaini wamebinuka mweee kyala nnunu!!!
Mkuu UKARIMU unawaponza watu wengi sana,maana hawa wanaojiita wajanja wanautumia sana mwanya huo.
Nalog off