Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Wana dharau sana watu wengine wasio wanyakyusa Hii ipo sana kwa wanyakyusa wa kyela ambapo wamefikia hatua watoto wa kike wa kyela hawawezi kuzaa na mgeni ww kama ni mgeni una demu wa kyela utaishia kula raha tu ila suala la mimba halipo
Dada yangu hawezi zaa na "NSENJI' bana!Hata mwanamme wa Kinyakyusa hawezi zaa na dada"ntuta" otherwise unless mmekutania nje ya Kyela ahahaha!