Sifa kuu za kabila la Kinyakyusa

Hata chui akionewa, basi atetewe.
Kuchuna ngozi sio sifa ya Wanyakyusa.
Kwa ujumla wanyakyusa si makatili...ni Wakarimu sana.

Wanaochuna ngozi ni kabila kutoka Wilaya ya Mbozi, wanaitwa Wanyiha, a.k.a akina "Tumgoje...Tumleshe"

hauna mdogo wako wa kiume ambaye yupo yupo kwanza.......hii sifa adimu hii........
 
Ni kweli kabisa.
 
wanawake wa kinyakyusa ni maharage ya mbeya. mbona hii sifa haimo mkuu
 
sasa wanyakyusa wa kiume kwenye mapenziii ndio div 5 kabisaa yaan wanapenda kuabudia hao mmh yaan ni amriii tu umuite baba baba ebooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…