Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
bora umeshtuka maana PesaNdogo kaweka sifa tupu, kasoro hajaziweka na amesifia eti kwa mapenzi ni wapole.ninaitwa na nani na kuhusu hilo kabila sio kabila langu
mm ni mndengereko sasa nao wanyakyusa wapi na wapi best
mnitue kabisa huko
angemalizia Jando huwa hawaendi kwani kupunguza kiungo chochote ni dhambi
hii ni tofauti na Mndengereka yeye hana niangusage
Wanyakyusa siku ya Msiba km umeoa huko na wewe sio kabila lako hutamuona ila................. na na hii ni sawa na wakati wa ngoma za Kindengereko/Kizaramo za usiku mkeo huta............
Last edited by a moderator: