Sifa kuu za wana JamiiForums

Sifa kuu za wana JamiiForums

Asilimia kubwa;
-wanaishi kwao /kwa ndugu/kwa shemeji zao
-Wanadhani wanajua kila kitu
-Wanajidai kuwa na pesa nyingi
-wanadhani wanajua maisha
-Ni keyboard worriors🤔🤣
-Wanajidai wanajua dili zote za mjini
-Wanajidai watoto wa kishua
-ukiuliza kuhusu gari wanakimbilia google kucopy na kuja na hayo majibu hapa as if ni ya kwao🥱
- 'Magari' yao ni ya kuanzia 40m (hasa wale wasiokuwa nayo)🤣
-Wanaliowa mishahara mikubwa sana
-business idea zao ni za mitaji mikubwa (wanaamini sana kwenye kushuka kuliko kupanda🤔).
***Nimesema asilimia kubwa /wengi wao..
Naongezea hapo.
Wanalala k,koo nguo zinaishi kwa dobi
 
1. Wote wana magari.
2. Wote wamefika university
3. Wote wamekaa ulaya.
4. Wote wanaishi dar.
5. Wote ni piskali mademu
6. Wote ni hendome wanaume.
7. Wote wana hela.

Hao ndio wana JF ongezea ya kwako.
Mimi naomba nitofautiane na wewe kwakuwa wengi hujitambulisha hata kwa mikoa waliyopo na wengine wamefikia hata kuunda club zao za JF
Kama ni chitchat tu hakuna shida lakini kama unazungumza serious huo sio uhalisia kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
kila utawala wa
FB_IMG_16443501870798183.jpg
Rais wote kwao wapo km huyu jamaa
 
Back
Top Bottom