Sifa na tabia za wameru

Sifa na tabia za wameru

Status
Not open for further replies.
Sisemi kitu, napita tu, nisije mwaga kuku kwenye mchele mwingi maana naishi nao.
 
  1. Kama ukimchukua hausigirl wa Kimeru anaweza kukutumbulia tumbo mtoto siku mkimtibua
  2. Wanaume kwa wanawake ni wababe kinoma
  3. Hawana staa /uvumilivu wa jambo
  4. hawakubali kushindwa kirahisi
  5. Wana ugomvi usioisha maishani
  6. Wengine ni washirikina kinoma
  7. Wanapenda sana short- cuts kwenye kkila jambo, wanaweza kuingiza hata ng'ombe shambani ilimradi wasiende machungo ya mbali
 
Ikatokea mdada wa kimeru akakuzimikia na mama yake akakupenda.ebwanaee unaweza kuowa mahari ulete baadae wamama wananguvu sana katka maamuz ya watoto wao.sifa yao kubwa wapo kama wamachame akikupenda ukileta makitu ya ajabu ya kupendapenda nje ahaa faster unaweza kutana na israel.
kwa kweli umenchekesha coz mimi ni mmachame lol, hatuko hivyo bwana tunajua kuvumilia sana ila ahsante kwa kunifahamisha
 
1. Wana viisasi
2.Washari
3.Primitive
4.Sio wastaarabu

"Kuliko ukutane na Mmeru bora ukutane na NYOKA"

Huu ni usemi rasmi unawadescribu wao.

nimekupata loh umeniongezea msemo, nimekumbuka kuna mtu wakiwa shule ya msingi alisema ilikuwa mtu akikuambia wewe ni mmeru ni amekutukana na inatosha kupigana na kufikishana kwa walimu,
 
Ninachoelewa ukiowa mmeru ujue yeye ndiye atakuwa mtawala wa nyumba.ndugu zake ndio watakuja lakini upande wako patakuwa na kazi hatajitaidi mlinzi,house b/g wote wawe meru au masai.niwachoyo sanaaaaa!
Hiyo inakuwa ni marital arrangments zenu binafsi!
 
Hawa jamaa ni wagomvi kuliko maelezo...... wakata migomba, wananyea makanisani. ukinunua shamba kwao ama ukimkopesha hupati kitu hapo imekula kwako.
 
Acheni kuwakandia Wameru
Mbona wanatabia nzuri tu jamani mwogopeni Mungu
 
Jamaa wana hasira mbaya na visasi,ukumbuki kipindi kile waligombana wakawa wanachomeana mashamba ya migomba ,kahawa na kuchomeana nyumba.
 
Ndugu zangu naomba mniambie sifa au tabia za wameru kila mmoja kwa nafasi yake na mtazamo wake. nauliza kwa sababu nimemsikia mtu akisema yeye hawezi kukaa na wameru hata sekunde akaulizwa na mbinguni je ukiwakuta utafanyaje akasema nitatoka. nilipotaka kudadisi nijue undani akawa ameshaondoka na sikuwa na contact zake, embu nisaidieni? binafsi nimekutana nao na sijaona shida yao lakini sielewi kwa nini mtu anaweza sema hivyo.

ahsanteni.

Warefu, weupe wanalala kama gogo hawana ushirikiano kunako majambozi
 
hapana tuna misimamo tu na sio wale wakuambiwa fanya hivi nenda hivi au vile na kusema hapo hapo ndio, lazima tufikiri na tuelewane kabla ya kusema ndio
machame volume 2.hata lugha awatetani hawa .hora mamzalendo!
 
Wameru ni washari sijapata kuona hawana tofauti na Wakurya,pia ni wagomvi kupindukia,leo anaweza kukuzia shamba kesho anabadilika na kudai uondoke,atawaita wanakijiji wenzake waje wakuvamie,wao katika ugomvi wanategemea sana mapanga,visu ,ngumi kavu kavu hawaziwezi na pia ni kama mbwa mwitu ukimpigana na mmoja kesho analeta kundi,hata mimi siwezi kukaa na Mmeru tukaongea la maana,pia wanajifanya wajuaji zaidi na wanapenda sana hela ,hapo arusha dada zao ndio wengi vyangudoa na hilo hawana aibu nalo na hao akina dada pia ni wababe usitegemee utamukopa

Mkuu Mfianchi.

Nimepata kusikia hadithi za wazee wa zamani kwanini wameru ni wakatili sana.Wengi wanakubali kweli wameru ni wakorofi sana asili ya ukorofi wa wameru ni laana za mababu zao waliwanyonga wamissionary waliokuja kueneza dini.

Pili ni maji/udongo pia unachangia ukorofi wa hili kabila.Ukitaka kuthibitisha jaribu kuuliza madereva wa daladala kwanini ikifika saa 2 usiku hawathubutu kwenda Tengeru,Usa,Maji ya chai.

Madereva wengi wa magari wanahofia kuaribikiwa magari usiku maeneo ya Tengeru,Shangarai,Maji ya Chai na Usa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom