Tunapoteza mabilioni kutembeza msafara wa rais nchi nzima kutangaza vivutio vyetu vya utalii!? Tumesahau kwamba utangazaji wa vivutio vya kitalii ni fani inayofanywa na wenye weledi mkubwa na pia watu wenye kukubalika duniani sio kwa madaraka yao bali kwa moral authority yao.
Ni vizuri rais Samia akajua kuwa wapo watanzania maarufu na wanaokubalika zaidi duniani kuliko yeye ambao wangeweza kuutangaza utalii wetu kwa uzuri zaidi na kwa gharama nafuu kabisa.
Tunapaswa kusafisha sifa mbaya tuliyojijengea miaka 5 hivi iliyopita: demokrasia mbovu na uvunjaji wa haki za raia vinafukuza watalii kwa maelfu!
Ni vizuri rais Samia akajua kuwa wapo watanzania maarufu na wanaokubalika zaidi duniani kuliko yeye ambao wangeweza kuutangaza utalii wetu kwa uzuri zaidi na kwa gharama nafuu kabisa.
Tunapaswa kusafisha sifa mbaya tuliyojijengea miaka 5 hivi iliyopita: demokrasia mbovu na uvunjaji wa haki za raia vinafukuza watalii kwa maelfu!