Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 512
- 866
Jamaa fala sana 🤣🤣🤣Acha roho mbaya ...boya wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa fala sana 🤣🤣🤣Acha roho mbaya ...boya wewe
Pia inatakiwa uangalie combination Gani anasoma kweny hayo matokeo ya DDF maan kun PCM jamaa Zang kupata DDF ni moja ya mafanikio ila inshu IPO kwa hgl ..hgk na hgl na zingineVyuo vingine kama UDOM , SAUT nk waige hiyo
Mkuu hakuna chuo kinacho chukua kwa DDF labda DDE two principle pass na one subsidiary ambayo ni E.Nimeshangaa katika pitapita zangu nimeona cheti cha mtu cha Advance katika masomo 3 ya combination ana DDF, halafu yupo chuo kikuu anasoma degree.
Serikali ifute kigezo cha D mbili, ama katika hizo D mbili iwepo na sifa nyingine kwamba hupaswi kuwa na F kwenye somo lolote kati ya masomo matatu. Yani hata ikitokea AAF hupaswi kwenda chuo kikuu.
Ni aibu kati ya masomo matatu una F moja halafu upo chuo kikuu unasoma degree.
Kingine ni kuhusu wanaorudia mitihani form iv na vi, hawa nao kwasababu vitu walivyovisoma ndani ya muda uliopangwa wakafeli kwenye assesment, inabidi grade zao za alama ziwe juu kuliko freshers maana wao walishavisoma hivo vitu wakafeli ndani ya scale ya awali.
Nawasilisha.
DDF unachukua degree IPO waziMkuu hakuna chuo kinacho chukua kwa DDF labda DDE two principle pass na one subsidiary ambayo ni E.
Hiyo F kama kweli itakuwa ya BAM au GS
Duuuh mi nilipigaga E ya physics daah kwaiyo ningepata S nisingepenya chuo sio eeeh 🤔😁Mkuu hakuna chuo kinacho chukua kwa DDF labda DDE two principle pass na one subsidiary ambayo ni E.
Hiyo F kama kweli itakuwa ya BAM au GS
Yawezekana ungepata kama calculation hazivuki three ya 13 ukiwa na hiyo S.Duuuh mi nilipigaga E ya physics daah kwaiyo ningepata S nisingepenya chuo sio eeeh 🤔😁
Halafu yule jamaa akiendelea kuwapinga walimu wa bongo mnamuona mbaya wakati shida zinaanzia huku. Haya tu.Nimeshangaa katika pitapita zangu nimeona cheti cha mtu cha Advance katika masomo 3 ya combination ana DDF, halafu yupo chuo kikuu anasoma degree.
Serikali ifute kigezo cha D mbili, ama katika hizo D mbili iwepo na sifa nyingine kwamba hupaswi kuwa na F kwenye somo lolote kati ya masomo matatu. Yani hata ikitokea AAF hupaswi kwenda chuo kikuu.
Ni aibu kati ya masomo matatu una F moja halafu upo chuo kikuu unasoma degree.
Kingine ni kuhusu wanaorudia mitihani form iv na vi, hawa nao kwasababu vitu walivyovisoma ndani ya muda uliopangwa wakafeli kwenye assesment, inabidi grade zao za alama ziwe juu kuliko freshers maana wao walishavisoma hivo vitu wakafeli ndani ya scale ya awali.
Nawasilisha.
Oh sawasawa ningepata 2 ya mwisho lkn isingefika 3 hiyoYawezekana ungepata kama calculation hazivuki three ya 13 ukiwa na hiyo S.
Mwisho three ya 13Oh sawasawa ningepata 2 ya mwisho lkn isingefika 3 hiyo
Izo 1.3 hazifiki shule zaidi ya 6 tz nzima usi generalise mkuuu hizo tunaita shule za private za vipaji 🤣Kwa matokeo ya sa ivi shule za private wanapata div 1.3 shule nzima naunga mkono hoja , ila kipindi chetu aisee pcm au pcb isikie tu! Ndo maana shule za vipaji maalum ziliheshimika
Ilikua ya chemistryMkuu hakuna chuo kinacho chukua kwa DDF labda DDE two principle pass na one subsidiary ambayo ni E.
Hiyo F kama kweli itakuwa ya BAM au GS
E ushinde S ushindwe , kisha uangukie F halafu unaenda chuo kikuu!Duuuh mi nilipigaga E ya physics daah kwaiyo ningepata S nisingepenya chuo sio eeeh [emoji848][emoji16]
Cha ajabu wale wenye 2 A level ndo wana waburuza wenye 1 zao kali A level kwa upande wa chuoE ushinde S ushindwe , kisha uangukie F halafu unaenda chuo kikuu!
Huko H kunani chuo kikuu mwishe iwe 11.12 isiyo na FPia inatakiwa uangalie combination Gani anasoma kweny hayo matokeo ya DDF maan kun PCM jamaa Zang kupata DDF ni moja ya mafanikio ila inshu IPO kwa hgl ..hgk na hgl na zingine
Mbona wewe unajipangia sasa kama ww ndo waziri wa elimu mkuuu 😂😅Huko H kunani chuo kikuu mwishe iwe 11.12 isiyo na F
Sijawahi kuona hicho kituIlikua ya chemistry
Ndio ipo hivoSijawahi kuona hicho kitu
Waende sehemu ya hadhi yao, kutoichosha serikali kukusanya kodi kuwapa mikopoacha roho mbaya, we wakiongezewa alama itakusaidia nini