Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Una umri gani?
 
Mura kwa huyo lugha utawaacha wengi njia panda
 
Wazaramo wengi hawajasoma sasa watapataje nafasi ya kuwa viongozi? Ukimkuta aliesoma basi ana bachelor ya computer science ishu laini laini yani..
Ila sisi wapare tuna roho mbaya jamani alafu tunaamini ushirikina. Ukiumwa kichwa tu utasikia sijui nani kaniloga. Alafu tuna wivu sana wa maendeleo na ndio maana wale wanaomiliki mabasi ya mikoani kama ngorika, buffalo, kirumo, mghamba na sharon yani wanajitahidi sana kujikoki lasiivo wanarudi kweny kirikuu
 

Kwani tunatoa sifa za wanawake wa kabila fulani, au kabila lote kwa ujumla? Labda sijaelewa swali. Kwa mfano, wapare wabahili kwisha( wanaume na wanawake), wachaga majivuno kwenda mbele (both), wahaya masifaaa (wote), nakadhalika.
 
Kwani tunatoa sifa za wanawake wa kabila fulani, au kabila lote kwa ujumla? Labda sijaelewa swali. Kwa mfano, wapare wabahili kwisha( wanaume na wanawake), wachaga majivuno kwenda mbele (both), wahaya masifaaa (wote), nakadhalika.
Hata tabia za wanawake na wanaume zinatofautiana
 
Wapare: wengi wao wafupi, wazuri wa sura ila wapare wana roho mbaya mi binafsi Sijawahi kukutana na mpare mwenye roho nzuri.

Mmmmh Hatari. Mwalimu nimewahi kukutana na wenye Roho nzuri ktk hilo kabila.
 
Ata me wazalamo nimeish nao... Wako fair sana ata wanawake, ukimwomba hababaish ata kam ni mke wa mtu mrad iwe siri tu bs
Hapo ndo nashangaa mkisema wahaya hawakataagi. Sasa na hilo kabila tuseme wanapenda ngono kama wahaya au?
 
Akutukanaye hakuchagulii tusi.

Wagogo ni wachapa kazi sana hasa kilimo na ufugaji. Changamoto tuliyonayo ni uhaba wa mvua mara kadhaa. Tunaomba serikali iongeze fungu kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji.
Tabia yenu ya kuombaomba bado unaiendeleza hadi kwenye huu uzi chaaa
 
Wanapenda ugomvi wa ardhi. Huku kwetu wana gombania maeneovya watu kila siku kesi yaani hili kabila nuksi tupuuuu
 
mademu wa kichaga wana mapenzi ya dhati sana akisema anakupenda ujue anakupenda kweli kweli hawajuagi ku cheat ila kitandani usitegemee kitu kama unaoa oa tuu ila kama unatafuta kiuno feni please hapa sio mahala pake nenda ntwara
Hahahah hamna loloteee eti hawa cheat thubutuuuuu hehehehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…