ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,979
Wazaramo kwa kupenda ubwabwa mamaaweee!Ha Ha Ha unapigia chapuo wazaramo umeoa huko au we mzaramo...
Nashangaa hata unaposema sio waongeaji katika watu waongeaji wazaramo wanaweza kuwa wa kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazaramo kwa kupenda ubwabwa mamaaweee!Ha Ha Ha unapigia chapuo wazaramo umeoa huko au we mzaramo...
Nashangaa hata unaposema sio waongeaji katika watu waongeaji wazaramo wanaweza kuwa wa kwanza
Umenena. Wakurya wataalam sana bed. Sio faking. Hasa wale wa Serengeti mugumu (wanata) .Ila kwa mimi, the best woman (in bed) niyewahi kutana na ye ni mkurya, napita tu, maana yuko humu ila kaolewa na rafiki yangu, mi nilimfungulia njia😛😛😛
Pamoja na kuwa wapare ni malaya na ni wachawi lakini elewa kuna wapare wa mwanga na same aisee wanaogopana mfano mpare wa mwanga hawezi kumuoa mpare wa same maana mpare wa same mchawi kulikoHuwajui wapare, ni moja ya kabila lenye wahuni wa kupindukia, na ushirikina, wanaanza michezo michafu wakiwa wadogo sana.Wachoyo na wabinafsi. Ukikuta mpare asiye mhuni au asiye na roho ya umaskini ni nadra sana
Sisi watafutaji. Tumesambaa sana nchi hii had I Zambia, Malawi hadi Africa kusini.Na wakinga hawajengi kwao lakini ndio matajiri wakubwaa Tanzania kwao huko wanakokuita makete kubayaaa sana mbaya zaidi na ukimwi wa kasi ya ajabu pa uongoooo
Wanawake waadilifu. Sio Malaya.Vipi kabila la wajaruo...
Sikia mkurya hana hamu na tendo la ndoa siku zote mkurya hubakwaUmenena. Wakurya wataalam sana bed. Sio faking. Hasa wale wa Serengeti mugumu (wanata) .
Wakinga hawajengi kwao sababu wanaogopa kurogwaSisi watafutaji. Tumesambaa sana nchi hii had I Zambia, Malawi hadi Africa kusini.
Ukimwi ulienezwa na mabinti wa KAZI walipokuwa mikoa ya DSM,Moro, nk. Walipoukwaa na kurudi mskete njombe wakawa wanagawa dose.
Na wanaume waliokuwa nje ya makete kutafuta maisha waliporudi nao wakasambaza kwa wake zao.
Kwa baridi ile uzinzi ni mkubwa.
Jaribu.Sikia mkurya hana hamu na tendo la ndoa siku zote mkurya hubakwa
Umekosea,wanyamwez wanagàwa aiseeSifa hiyo kabila kama kabila hawana
Ila labda iwe mtu binafsi tu kaamua "kutoa ni moyo"
Hapo kwa wanyamwez,umekoseaWe unajifanya unajua lakin hujui lolote.Hata ukiendesha sensa humu jf utapata matokeo kuwa hakuna kabila linaongoza Tanzania kwa kuwa na roho nzuri na ukarimu kama wasukuma.Huwezi kwenda kwa msukuma ukaondoka hajakukirimu katika kiwango cha hali ya juu,hii ni kwasbb wasukuma ni wachapakazi sana na hakunaga njaa usukumani.Ni wapole na wenye tabia nzuri.Hii pia ipo kwa wanyamwezi,maana kiasili msukuma ni mnyamwezi,its a matter nini kilitangulia kati ya yai na kuku.Hata wachaga hawana roho mbaya..its just that they want everybody to be independent and successfulUkiniambia mi niishi na kabila gani,nitakuambia mchaga,kwasababu hana wivu na anataka wote muendelee
Ha ha ha kumbeWazaramo kwa kupenda ubwabwa mamaaweee!
Na wewe? Tabia yako ni ipi?Nimeolewa nao niwabaguzi hakuna mfano nawajua vzr [emoji53]
Haahahaha kuhusu wachaga hapo full umegusia ka ukwel flan hvWanyamwezi : hawa ni kama aina tu ya wasukuma wana tabia za wasukuma ila kwa ushirikina wanyamwezi kiboko, enzi hizo mme hukai hivi hivi hadi mama akutengeneze sijui sasa hivi.
Wachaga: wazuri wa sura, watafutaji, wanaume baadhi wanajitahidi kujali familia, miguu fito, maumbo yao huwa yana makosa ya kiufundi, ila siku hizi afadhali kwa sababu ya intermarriage basi wanazaliwa wachaga wenye maumbo ya kueleweka
Wakerewe: hawa nao kwa kujivuna hawajambo wakati wanamiliki furu tu, kwa ushirikina pia wapo wapo
UWONGO. SHAHIDIA. MAANA WANGU MCHAGGA MGUU YAANI MWENYEWE NIKIONA NATAKAAAAWachaga hawana miguu mizuri , Wanajua kukiss
HIVI WACHAGGA ULIAMBIWA AU ULISIKIA. NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK. GO AND U WILL SEE THEM AND HOW GENOROUS THEY ARE.JAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.
KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.
MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .
MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA
WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
Hahaa acha kuchekesha mkuu,wanawake ni wazuri lkn ni vishoia wanauza baa na vitumbua wanaume wanapigwa na wake zao .wachaga(wamarangu) :wastaarabu sana, wengi ni wazuri na watanashati. watafutaji wazuri wa eleri(pesa). wanaheshima, wanapendana, hawana ubinafsi kama wapare. sio washirikina kama wasambaa, wapole, wanapenda kujenga kwao,wanawai kumiliki magar kwa umri mdogo. waaminifu kwenye mapenzi.
Hata sa ivi wasu.****Miaka ya nyuma kidogo kuna kabila lilikua na mikono ya sweta wengi nani analikumbuka?