Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Watachonga wana nguvu gani kwa mfano?
 
Mimi Mgweno I'm neither Pare no Chaga but super intermidiate .
Wengi hawalijui hilo kama hujui sasa jua kuwa Kilimanjaro kuna makabila matatu Wachaga, Wapare na Wagweno .
 
Kwenye kugawa uroda ni karibu kila kabila si kama tulivyokaririshwa mkuu.
 
Wanawake wa Kikurya/Wajita ni wasafi. Wasafi kimwili, mazingira na wanajua kupangilia nyumba zao.
 
Mmmmh wapogorooo..sijawahi sikia hizo sifa kama hizo wanazo. Ila sema huu uzi ni kujinadi haina noma twendeni
 
jamani sijaona mpogoro ana sifa gani, mnaojua leteni misifa yao hapaa
 
ahahahaaaaa ilikula kwako rafiki hata mimi ningechukia kinouma kudadeki
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hao wa chini wote wana asili ya pwani na pia wana itikadi za ujamaa from the roots. Wanaamini katika gathering together ingawa imewa affect maana wengi maendeleo ya ni duni. Hubebana tu in good faith vizazi kwa vizazi sio kama makabila mengine ambayo mtoto akishapevuka analazimika kuwa independent.

Hamnaga Mbeleko kwenye Makabila ya Bara. Ndio maana kuna mambo ya Koo na Ukabila.
 
Hao eti wenye roho mzuri mmmm wanaongea sana na muongeaji sana lazima awe mbeya mbeya sana na uongo pia
 
wahahe weusi na wenye mapenzi ya dhati kwa wote tatzo la mhehe usimkosee kwa kile anachokihitaji huchelewi kumkuta kajinyonga
Wahehe pia wanahasira za kudumu na hawajui kusamehe. Nadhani ndo sababu hujinyonga. Walipizaji wakubwa wa visasi. Kwavile wao ujiua ni kitu kidogo, hawajali kukuondoa na wewe pia. Bora kuoa mchaga au mchawi, kuliko mhehe.
 
Nakazia
 
Wamakonde wapo karibu na bahari lakini si watu wa pwani [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…