Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

JAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.

KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.

MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .

MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA

WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
 
Wapare watu poa sana ni wachumi wazuri na wanapenda haki
 
We unayejieleza sana kabila gani au mmagoma kama Mimi maana sisi hatunaga kwele
 
Bhwachamawe waongelamo bwakisi(wajita)au nimekosea[emoji12]
 
Wazaramo sio Kabisa wanachonga sanaa wanachamba Balaaa. Wakiamua unahama mtaa
MIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.

NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......

1.MNYIKA NI MPARE

2.HALIMA. MDEE NI MPARE

3.ZUNGU NI MZUNGU

4.MWITA WAITARA NI MKURYA

5.BONNA KALUWA NI MUHAYA

6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI

7.MEYA WA JIJI NI MKURYA

HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
 
Nahisi unatoka katika kabila hili, si kwa sifa hizi
 
Lakwako nilipi manake unakashfu yawenziwe?
 
Wapare watu poa sana ni wachumi wazuri na wanapenda haki
Wapare ni wabahili pia wana roho mbaya, kuna siku nlikutana na mdada kwenye bus, akawa ananipa story ya shoga ake anamfanyia visa, anafanya mambo kwa binafsi n.k n.k nikamuuliza rafiki ako ni mpare? Akajibu ndio... Nilicheka, Wapare wana roho mbaya
 
Wanawake wengi wazuri, maumbo mazuri, makalio na miguu wanayo, wanapenda kupigana miti kuliko kula, wanajisifia sana, ningekua mwanaume mie katika kabila nisingweza kuoa ni hili hawa hapana
If you were a man ungeoa kabila lipi mtumishi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…