Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Umeamua kuwa faiza leo.Uzuli ni uzuri
Vizuli ni vizuri
Kwa hisani ya faiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamua kuwa faiza leo.Uzuli ni uzuri
Vizuli ni vizuri
Kwa hisani ya faiza
Sifa sio nzuri tu, hata mbaya ni sifa pia..Sifa gani zinakera?
wewe sasa ndio umeongea point Evelyn SaltJAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.
KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.
MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .
MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA
WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
Tena jina lake tumeandika kwa herufi ndogo akija atauliza tulisomea ujinga, ngoja ni edit mieUmeamua kuwa faiza leo.
Sio chai ni kweli nnachosema, yani mtoto wa dada ako unamla, mke wa kaka ako unajilia mtoto wa baba mkubwa twende kazi, wanapandana tu kama mbuzi vileEvelyn unatuuzia chai.
Yani mtu amle mtoto wa dada...
Una mifano hai?
Au ni stori tu za huko boarding school? Si ulisoma
Sio kweliSio chai ni kweli nnachosema, yani mtoto wa dada ako unamla, mke wa kaka ako unajilia mtoto wa baba mkubwa twende kazi, wanapandana tu kama mbuzi vile
LiarKuna wale ndugu zetu wahaya,yaan wanapenda sifa sana,ukimsifia tu mmepatana ila kwa ngono hawajambo
Nimeishi na nnaishi nao ninawajua ninachoongea nna uhakika, yani kama una mwanamke muiraq akikutambulisha huyu sijui mjombaa sijui kakaa kaa chonjoSio kweli
Sijawahi kuishi nao. Ndio maana nimekuambia nipe mfano hai.Nimeishi na nnaishi nao ninawajua ninachoongea nna uhakika, yani kama una mwanamke muiraq akikutambulisha huyu sijui mjombaa sijui kakaa kaa chonjo
sifa yenu ni kupeana majina ya wanyamaWangoni jee
sifa yenu ni kupeana majina ya wanyamaWangoni jee
Ww muhaya nn?Liar
Naja pm kwa mifano haiSijawahi kuishi nao. Ndio maana nimekuambia nipe mfano hai.
Wewe unaendelea ku generalise.
"Shule mmeenda kusomea ujingaaaaaaa-Faiza Foxy"
nyinyi wajita kujisifia ndio zenu kumbe watupuNimeishi na nnaishi nao ninawajua ninachoongea nna uhakika, yani kama una mwanamke muiraq akikutambulisha huyu sijui mjombaa sijui kakaa kaa chonjo
Poa, nakungoja.Naja pm kwa mifano hai