Sifa za Manabii wa uongo

Sifa za Manabii wa uongo

wa kwanza Mwamposa kwa hapa tz for now.

sijui kwa nini watu akil8 zao zikoje yani, wanadanganywa kipuuzi wananunu sjui maji sjui mafuta ati imeombewa.

anyway nisiongee sana cas namjua personally, ni anatafta pesa tu kwa hiyo njia, na wajinga mnapatwa kwelikweli.

Mungu yupo, muombe wewe binafsi atasikia maombi yako na atajibu anavoona yeye, ndio nebda mskitini, nenda kanisani ili kufundishwa maelekekezo ya Mungu, sio kwa hao wahuni kina mwamposa, au hadi tuwaletee ushahidi ndio muelewe? haya sasa
Haitoshi kumtuhumu..tupe ushahidi na vigezo za kutuaminisha ni wauwongo...
 
Sifa ingine kuu ni UZINZI, wanazini na waumini wao,

Hama haraka ukisikia shutuma za Zinaa Kwa mtumishi wako kuhusiana na UZINZI.
 
Kizazi hiki hakuna nabii, mtume wala Mchungaji wa kweli, hawa woote katika dini zote ni matapeli.

Si hao tu wanaojiita hayo majina mazuri bali hata ninyi wachungaji na wafia dini zote ni matapeli vile vile maana mnaeneza injili ambayo hata ninyi hamuitambui, wala hamjui lolote kuhusu hizo biblia zaidi ya kukalili.

Kanisa la kweli nyakati hizi ni wewe mtu na huitaji kiongozi yeyote kutoka katika dini yoyote eti awe muunganishi wako na huyo wanaemuita Mungu, wala huitaji maombezi yoyote kutoka kwa kiongozi yeyote wa kanisa, maana kiuhalisia nyakati hizi kanisa ni wewe mtu na sio dhehebu fulani wala kikundi fulani kilichoanzishwa kinachojiita kanisa.

Huyo yesu mnaemuhubiri hata hamumjui vizuri je mtaweza kuyachambua mafundisho yake zaidi ya utapeli tu.

Mnahangaika kuwaponda hao mnaosema manabii wa uongo huku hata ninyi mkitumia mafundisho ya uongo na biblia za uongo kutoka kwa mrumi aliyechakachua maandiko na kubadiri karibu 90% ya hizo biblia.

Kiufupi watu wa dini mnajichosha tu mnawahukumu watu kwa matendo ambayo hata ninyi mnayafanya bila kujua.

Dini za kuletwa na watu weupe hazitomkomboa mtu mweusi, msijichoshe bure kuhubiri ujinga usio na msaada katika jamii.
 
Industry ya utume,uinjilist na upasta fake unashamburiwa na wajanja ambao wazuri kufanya public speaking ambao hutoka makundi yafuatayo.
1.Pschologist hawa wanajua kuigusa jamii kwa kutoa mahubili mafunzo ambayo inalenga kuwafundisha watu mambo ya kidunia kuliko biblia mfano Tonny kapola na Daniel mgogo
2.Comedian mfano Masanja hawa wana uwezo wa kuteka masikio ya watu kirahisi kwa kuwafanya wasichoke kuwasikiliza kuliko taasisi za dini kubwa kama uislam wakati wa kusali TARAWEI na RC kusali Rozali takatifu
3.Ma Mc wa sherehe na misiba hawa hawaogopi hadhila wana uwezo mkubwa wa kupanga maneno na wakashawishi sadaka kutoka mifukoni na kuja kwenye bakuli/kikapu chao mfano Mc pilipili
4.Matapeli wa miujiza feki kwa kukodi watu kutoka nchi jirani na mimi nimeshawahi kushiriki kutafuta misukule bandia na wakapangwa how to act on stage mfano Mwamposa,Suguye,Kakobe,Lusekelo na Gwajima
5.Wanyakyusa hawa kenge sijui wapoke hata huko kwao Mbeya Tukuyu na Kyela hawaaminiani kila familia ni kanisa lililokamilika kwa sababu ya hulka yao ya unafiki wamekuwa wazuri wa kujifanya wapo jirani na Mungu kuliko kabila lolote hapa nchini ndo maana hata waimbaji wa nyimbo za injili na manabii feki asilimia kubwa ni wanyakyusa.ANGALIZO hata ukipata mke wa kinyakyusa mpenda dini kuwa makini wengi ni waigizaji tu ipo siku yeye au ndugu zake watakiwasha mtashindwana nae.Mfano hapa utajaza mwenyewe ukisikia muimbaji ama mtume jina lake linaanza na MWA tayari hao ni wanyakyusa na pia huko kwao Mbeya wanaogopana kuoana wao kwa wao kwa sababu ya unafiki uliopindukia.Kama mnabisha aje mtu hapa anaesoma comment hii atoe ushuhuda kuwa ameoa au kuolewa na mnyakyusa mtanishukuru baadae
6.Motivatinal speaker hawa watu wanajua kugusa shida za watu kwa kuongea sentensi nzuri zinazohusu majanga yanayoikumba jamii haswa wanawake na hivyo wanaziconnect na miujiza ili kutoq suggested solutions na kuwapqnga watu watoe shuhuda kuwaaminisha waumini wengine(nyumbu) kuwa hapo ni sehemu sahihi ambapo shida zao zitakuja kuguswa ila leo sio zamu zao kupokea miujiza na mara nyingi hapmwa hujizolea waumini kutoka madhehebu makubwa ambayo yana ibada au maombi yaliyo kwenye mpango maalum eg Waislam ,RC na lutheran hupoteza waumini wengi kwa sababu ibada zao zinasahau kugusa shida za waumini kwa kukomaa na ibada zilizo wekwa kwenye katiba za vitabu vya miongozo mfano RC katekisimu na Shajala ambazo zimeeleza namna na ya kuendesha ibada.
 
1. Wanajali zana pesa kuliko kumtumikia Mungu.

2. Wanaamini Yesu sio Mungu.

3. WANA MADHABAHU ZAO, hata maombi wanaomba kwa madhabahu ya mtumishi huo, sio kwa Jina la Yesu, wanaamini madhabahu yao ina nguvu, kumbe Nguvu zetu zinapaswa zitokane na Roho.

4. Injili zao muda mwingi ni za miujiza tu, kujisifia kuwa wana upako, hawahubiri wokovu, toba, utakatifu na uongozi wa Roho. Hii haimaanishi Mungu hawezi fanya miujiza, wanaifanya, ila wao wanaifanya ya shetani, hawana Mungu. Mungu anataka kwanza roho yako, mengine utazidishiwa.

5. Akiwa anahubiri, ANAKUWA NA LICHAWA PEMBENI la kupromote kurudia kile alichotamka, ili kumpa mori na kuhamasisha waumini, hii ni kwasababu hawana Roho Mtakatifu wa kugusa mioyo ya watu, wanatumia nguvu za mwili kuaminisha waumini kile wanachohubiri.

6. Wanapenda sana KUSIFIWA NA WAUMNINI wao kuliko hata kumsifia Mungu, wanapenda kutangazwa sana wao kuliko hata kumtangaza Mungu.

7. WANA KIBURI CHA PESA utafikiri za kwao kumbe ni zile zile sadaka mnatoa anajifanya za kwake na yeye ni tajiri, wanapenda sana kusifia serikali, kwasababu wanaiogopa.

8. WANATEMBEA NA MABODIGADI hata mahali pasipo na ulazima, ila waumini wanaowahubiria hawana ulinzi wowote.

9. WANAPENDA ANASA, muda mwingi wapo mitandaoni kurusha picha walivyovaa vizuri na kuwatamkia watu ahadi za mambo mema, badala ya kutangaza injili iletayo wokovu wa roho.

10. WANACHANGANYA BIASHARA NA INJILI. Huwezi kutumikia mabwana wawili, never.

11. Wanapinga Nguvu za Mungu, kwa maana ya ROHO MTAKATIFU, ujazo wa Roho na kuomba kwa Roho. Hutakuja kuwaona wanahubiri ujazo wa Roho, ni kwasababu hawanaye.

12. WANAUJENGA ZAIDI MWILI KULIKO ROHO. Majority ni masharobaro, hata hujui wanamtafuta Mungu maombi na kufunga saa ngapi. Hatusemi mtu awe mchafu, ila unashangaa wao muda wote wamevaa kisharobaro, wanajichubua, wanaujali mwili zaidi kuliko hata roho zao.

13. MAHUBIRI YAO MAKAVUUU HATA KAMA UTAONA KUNA MIUJIZA. Ni kwasababu hawana Roho Mtakatifu, ila roho mchafu. Hiyo miujiza jua ni ya shetani, shetani naye hufanya miujiza ili kulaghai.

14. WANAVAA NGOZI YA KONDOO KUJIFANYA NI WATAKATIFU ILI WAWAPATE WENGI, lakini kumbe ni mbwa mwitu walaluao. Mabinti wengi wana siri nzito sana na hawa manabii wa uongo wa kisasa" Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali." (Mathayo 7:15)

15. Wapo kwa ajili ya kuwadanganya watu wasimwabudu Mungu wa kweli." Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi."(Mathayo 24:4-5).

16. WANAFANYA MIUJIZA KWA NJIA ZISIZO ZA KI MUNGU ili waweze kuwapoteza watu. " Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule."(Mathayo 24:24).

17. WANAMWABUDU, WANAMTANGAZA NA KUFANYA KAZI ZA MPINGA KRISTO. " Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho."(1Yohana 2:18)

18. Hawamkubali Yesu hata kama wanajionyesha kuwa wanamwamini lakini kazi zao siyo za Kikristo kwa hiyo hawana Mungu ndani yao. " Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.

19. Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia." (1Yohana 2:22-23)

20. Kazi zao hazitokani na Mungu. " Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani." (1Yohana 4:1).

21. MAFUNDISHO YAO NI YA UONGO. " Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia." (2Petro 2:1).

22. UNABII WAO NI KWA MTAZAMO WAO NA MAAGIZO KUTOKA KUZIMU. " Ndipo BWANA akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao." (Yeremia 14:14).

23. Wengi wanaigiza na kulitaja jina la Bwana visivyo katika unabii wao na miujiza yao ili watu wajue kuwa wanatumiwa na kumbe siyo kweli. " Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?" (Mathayo 7:22).
24. WAFUASI WAO LAZIMA WAWE MASKINI
 
Tony Kapola inamhusu hii. Kajamaa kapuuzi sana na injili yake feki!
viwatu vyote vinavyohubiri mahubiri ya hekima ya kibinadamu inayofurahisha watu, injili ya sukari, badala ya injili inayosukumwa na Roho Mtakatifu, hana tofauti na motivational speakers, na ni sawa tu ukiwaita watu wa aina hii "wapiga pesa' WA KAWAIDA TU.
 
Industry ya utume,uinjilist na upasta fake unashamburiwa na wajanja ambao wazuri kufanya public speaking ambao hutoka makundi yafuatayo.
1.Pschologist hawa wanajua kuigusa jamii kwa kutoa mahubili mafunzo ambayo inalenga kuwafundisha watu mambo ya kidunia kuliko biblia mfano Tonny kapola na Daniel mgogo
2.Comedian mfano Masanja hawa wana uwezo wa kuteka masikio ya watu kirahisi kwa kuwafanya wasichoke kuwasikiliza kuliko taasisi za dini kubwa kama uislam wakati wa kusali TARAWEI na RC kusali Rozali takatifu
3.Ma Mc wa sherehe na misiba hawa hawaogopi hadhila wana uwezo mkubwa wa kupanga maneno na wakashawishi sadaka kutoka mifukoni na kuja kwenye bakuli/kikapu chao mfano Mc pilipili
4.Matapeli wa miujiza feki kwa kukodi watu kutoka nchi jirani na mimi nimeshawahi kushiriki kutafuta misukule bandia na wakapangwa how to act on stage mfano Mwamposa,Suguye,Kakobe,Lusekelo na Gwajima
5.Wanyakyusa hawa kenge sijui wapoke hata huko kwao Mbeya Tukuyu na Kyela hawaaminiani kila familia ni kanisa lililokamilika kwa sababu ya hulka yao ya unafiki wamekuwa wazuri wa kujifanya wapo jirani na Mungu kuliko kabila lolote hapa nchini ndo maana hata waimbaji wa nyimbo za injili na manabii feki asilimia kubwa ni wanyakyusa.ANGALIZO hata ukipata mke wa kinyakyusa mpenda dini kuwa makini wengi ni waigizaji tu ipo siku yeye au ndugu zake watakiwasha mtashindwana nae.Mfano hapa utajaza mwenyewe ukisikia muimbaji ama mtume jina lake linaanza na MWA tayari hao ni wanyakyusa na pia huko kwao Mbeya wanaogopana kuoana wao kwa wao kwa sababu ya unafiki uliopindukia.Kama mnabisha aje mtu hapa anaesoma comment hii atoe ushuhuda kuwa ameoa au kuolewa na mnyakyusa mtanishukuru baadae
6.Motivatinal speaker hawa watu wanajua kugusa shida za watu kwa kuongea sentensi nzuri zinazohusu majanga yanayoikumba jamii haswa wanawake na hivyo wanaziconnect na miujiza ili kutoq suggested solutions na kuwapqnga watu watoe shuhuda kuwaaminisha waumini wengine(nyumbu) kuwa hapo ni sehemu sahihi ambapo shida zao zitakuja kuguswa ila leo sio zamu zao kupokea miujiza na mara nyingi hapmwa hujizolea waumini kutoka madhehebu makubwa ambayo yana ibada au maombi yaliyo kwenye mpango maalum eg Waislam ,RC na lutheran hupoteza waumini wengi kwa sababu ibada zao zinasahau kugusa shida za waumini kwa kukomaa na ibada zilizo wekwa kwenye katiba za vitabu vya miongozo mfano RC katekisimu na Shajala ambazo zimeeleza namna na ya kuendesha ibada.
Mkuu naona unataka kuanzisha ugomvi wa kikabila hapa jamvini....Wanyakyusa tumekukosea nini?
Mbona dada zetu ni watu wema sana na wametulia na ndoa zao.
 
M
1. Wanajali zana pesa kuliko kumtumikia Mungu.

2. Wanaamini Yesu sio Mungu.

3. WANA MADHABAHU ZAO, hata maombi wanaomba kwa madhabahu ya mtumishi huo, sio kwa Jina la Yesu, wanaamini madhabahu yao ina nguvu, kumbe Nguvu zetu zinapaswa zitokane na Roho.

4. Injili zao muda mwingi ni za miujiza tu, kujisifia kuwa wana upako, hawahubiri wokovu, toba, utakatifu na uongozi wa Roho. Hii haimaanishi Mungu hawezi fanya miujiza, wanaifanya, ila wao wanaifanya ya shetani, hawana Mungu. Mungu anataka kwanza roho yako, mengine utazidishiwa.

5. Akiwa anahubiri, ANAKUWA NA LICHAWA PEMBENI la kupromote kurudia kile alichotamka, ili kumpa mori na kuhamasisha waumini, hii ni kwasababu hawana Roho Mtakatifu wa kugusa mioyo ya watu, wanatumia nguvu za mwili kuaminisha waumini kile wanachohubiri.

6. Wanapenda sana KUSIFIWA NA WAUMNINI wao kuliko hata kumsifia Mungu, wanapenda kutangazwa sana wao kuliko hata kumtangaza Mungu.

7. WANA KIBURI CHA PESA utafikiri za kwao kumbe ni zile zile sadaka mnatoa anajifanya za kwake na yeye ni tajiri, wanapenda sana kusifia serikali, kwasababu wanaiogopa.

8. WANATEMBEA NA MABODIGADI hata mahali pasipo na ulazima, ila waumini wanaowahubiria hawana ulinzi wowote.

9. WANAPENDA ANASA, muda mwingi wapo mitandaoni kurusha picha walivyovaa vizuri na kuwatamkia watu ahadi za mambo mema, badala ya kutangaza injili iletayo wokovu wa roho.

10. WANACHANGANYA BIASHARA NA INJILI. Huwezi kutumikia mabwana wawili, never.

11. Wanapinga Nguvu za Mungu, kwa maana ya ROHO MTAKATIFU, ujazo wa Roho na kuomba kwa Roho. Hutakuja kuwaona wanahubiri ujazo wa Roho, ni kwasababu hawanaye.

12. WANAUJENGA ZAIDI MWILI KULIKO ROHO. Majority ni masharobaro, hata hujui wanamtafuta Mungu maombi na kufunga saa ngapi. Hatusemi mtu awe mchafu, ila unashangaa wao muda wote wamevaa kisharobaro, wanajichubua, wanaujali mwili zaidi kuliko hata roho zao.

13. MAHUBIRI YAO MAKAVUUU HATA KAMA UTAONA KUNA MIUJIZA. Ni kwasababu hawana Roho Mtakatifu, ila roho mchafu. Hiyo miujiza jua ni ya shetani, shetani naye hufanya miujiza ili kulaghai.

14. WANAVAA NGOZI YA KONDOO KUJIFANYA NI WATAKATIFU ILI WAWAPATE WENGI, lakini kumbe ni mbwa mwitu walaluao. Mabinti wengi wana siri nzito sana na hawa manabii wa uongo wa kisasa" Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali." (Mathayo 7:15)

15. Wapo kwa ajili ya kuwadanganya watu wasimwabudu Mungu wa kweli." Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi."(Mathayo 24:4-5).

16. WANAFANYA MIUJIZA KWA NJIA ZISIZO ZA KI MUNGU ili waweze kuwapoteza watu. " Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule."(Mathayo 24:24).

17. WANAMWABUDU, WANAMTANGAZA NA KUFANYA KAZI ZA MPINGA KRISTO. " Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho."(1Yohana 2:18)

18. Hawamkubali Yesu hata kama wanajionyesha kuwa wanamwamini lakini kazi zao siyo za Kikristo kwa hiyo hawana Mungu ndani yao. " Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.

19. Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia." (1Yohana 2:22-23)

20. Kazi zao hazitokani na Mungu. " Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani." (1Yohana 4:1).

21. MAFUNDISHO YAO NI YA UONGO. " Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia." (2Petro 2:1).

22. UNABII WAO NI KWA MTAZAMO WAO NA MAAGIZO KUTOKA KUZIMU. " Ndipo BWANA akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao." (Yeremia 14:14).

23. Wengi wanaigiza na kulitaja jina la Bwana visivyo katika unabii wao na miujiza yao ili watu wajue kuwa wanatumiwa na kumbe siyo kweli. " Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza

1. Wanajali zana pesa kuliko kumtumikia Mungu.

2. Wanaamini Yesu sio Mungu.

3. WANA MADHABAHU ZAO, hata maombi wanaomba kwa madhabahu ya mtumishi huo, sio kwa Jina la Yesu, wanaamini madhabahu yao ina nguvu, kumbe Nguvu zetu zinapaswa zitokane na Roho.

4. Injili zao muda mwingi ni za miujiza tu, kujisifia kuwa wana upako, hawahubiri wokovu, toba, utakatifu na uongozi wa Roho. Hii haimaanishi Mungu hawezi fanya miujiza, wanaifanya, ila wao wanaifanya ya shetani, hawana Mungu. Mungu anataka kwanza roho yako, mengine utazidishiwa.

5. Akiwa anahubiri, ANAKUWA NA LICHAWA PEMBENI la kupromote kurudia kile alichotamka, ili kumpa mori na kuhamasisha waumini, hii ni kwasababu hawana Roho Mtakatifu wa kugusa mioyo ya watu, wanatumia nguvu za mwili kuaminisha waumini kile wanachohubiri.

6. Wanapenda sana KUSIFIWA NA WAUMNINI wao kuliko hata kumsifia Mungu, wanapenda kutangazwa sana wao kuliko hata kumtangaza Mungu.

7. WANA KIBURI CHA PESA utafikiri za kwao kumbe ni zile zile sadaka mnatoa anajifanya za kwake na yeye ni tajiri, wanapenda sana kusifia serikali, kwasababu wanaiogopa.

8. WANATEMBEA NA MABODIGADI hata mahali pasipo na ulazima, ila waumini wanaowahubiria hawana ulinzi wowote.

9. WANAPENDA ANASA, muda mwingi wapo mitandaoni kurusha picha walivyovaa vizuri na kuwatamkia watu ahadi za mambo mema, badala ya kutangaza injili iletayo wokovu wa roho.

10. WANACHANGANYA BIASHARA NA INJILI. Huwezi kutumikia mabwana wawili, never.

11. Wanapinga Nguvu za Mungu, kwa maana ya ROHO MTAKATIFU, ujazo wa Roho na kuomba kwa Roho. Hutakuja kuwaona wanahubiri ujazo wa Roho, ni kwasababu hawanaye.

12. WANAUJENGA ZAIDI MWILI KULIKO ROHO. Majority ni masharobaro, hata hujui wanamtafuta Mungu maombi na kufunga saa ngapi. Hatusemi mtu awe mchafu, ila unashangaa wao muda wote wamevaa kisharobaro, wanajichubua, wanaujali mwili zaidi kuliko hata roho zao.

13. MAHUBIRI YAO MAKAVUUU HATA KAMA UTAONA KUNA MIUJIZA. Ni kwasababu hawana Roho Mtakatifu, ila roho mchafu. Hiyo miujiza jua ni ya shetani, shetani naye hufanya miujiza ili kulaghai.

14. WANAVAA NGOZI YA KONDOO KUJIFANYA NI WATAKATIFU ILI WAWAPATE WENGI, lakini kumbe ni mbwa mwitu walaluao. Mabinti wengi wana siri nzito sana na hawa manabii wa uongo wa kisasa" Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali." (Mathayo 7:15)

15. Wapo kwa ajili ya kuwadanganya watu wasimwabudu Mungu wa kweli." Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi."(Mathayo 24:4-5).

16. WANAFANYA MIUJIZA KWA NJIA ZISIZO ZA KI MUNGU ili waweze kuwapoteza watu. " Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule."(Mathayo 24:24).

17. WANAMWABUDU, WANAMTANGAZA NA KUFANYA KAZI ZA MPINGA KRISTO. " Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho."(1Yohana 2:18)

18. Hawamkubali Yesu hata kama wanajionyesha kuwa wanamwamini lakini kazi zao siyo za Kikristo kwa hiyo hawana Mungu ndani yao. " Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.

19. Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia." (1Yohana 2:22-23)

20. Kazi zao hazitokani na Mungu. " Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani." (1Yohana 4:1).

21. MAFUNDISHO YAO NI YA UONGO. " Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia." (2Petro 2:1).

22. UNABII WAO NI KWA MTAZAMO WAO NA MAAGIZO KUTOKA KUZIMU. " Ndipo BWANA akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao." (Yeremia 14:14).

23. Wengi wanaigiza na kulitaja jina la Bwana visivyo katika unabii wao na miujiza yao ili watu wajue kuwa wanatumiwa na kumbe siyo kweli. " Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?" (Mathayo 7:22).
Mnadanganya na kuganganyana makanisani hakuna nabii wala mtume wa ukweli yoyote kati yenu wala mtakatifu mchamungu kati yenu.....injili yote mnayo itumia imepotoshwa siyo injili ya kweli iletayo wokovu mfano ukimsikia mtu anakuambia
1)MUNGU ANAZO NAFSI 3
2)YESU ALISULIBIWA KWA SABABU YA DHAMBI YA ASILI
3)KANISA NI NYUMBA YA IBADA AMBAYO WATU WANAINGIA NA VIATU
4)KITU CHOCHOTE CHENYE KUITWA DHEHEBU
5)FUNGU LA 10 LA DHAKA KUWA LINAPELEKWA KANISANI AU AKIKUAMBIA KUWA KATIKA INJILI KUNA KUTOA FUNGU LA 10...NK ..
Huyo ni muhuni katika DINI .....ndiyo hao walio nenewa haya maandiko 👉CHUKIZO.LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU.
 
1. Wanajali zana pesa kuliko kumtumikia Mungu.

2. Wanaamini Yesu sio Mungu.

3. WANA MADHABAHU ZAO, hata maombi wanaomba kwa madhabahu ya mtumishi huo, sio kwa Jina la Yesu, wanaamini madhabahu yao ina nguvu, kumbe Nguvu zetu zinapaswa zitokane na Roho.

4. Injili zao muda mwingi ni za miujiza tu, kujisifia kuwa wana upako, hawahubiri wokovu, toba, utakatifu na uongozi wa Roho. Hii haimaanishi Mungu hawezi fanya miujiza, wanaifanya, ila wao wanaifanya ya shetani, hawana Mungu. Mungu anataka kwanza roho yako, mengine utazidishiwa.

5. Akiwa anahubiri, ANAKUWA NA LICHAWA PEMBENI la kupromote kurudia kile alichotamka, ili kumpa mori na kuhamasisha waumini, hii ni kwasababu hawana Roho Mtakatifu wa kugusa mioyo ya watu, wanatumia nguvu za mwili kuaminisha waumini kile wanachohubiri.

6. Wanapenda sana KUSIFIWA NA WAUMNINI wao kuliko hata kumsifia Mungu, wanapenda kutangazwa sana wao kuliko hata kumtangaza Mungu.

7. WANA KIBURI CHA PESA utafikiri za kwao kumbe ni zile zile sadaka mnatoa anajifanya za kwake na yeye ni tajiri, wanapenda sana kusifia serikali, kwasababu wanaiogopa.

8. WANATEMBEA NA MABODIGADI hata mahali pasipo na ulazima, ila waumini wanaowahubiria hawana ulinzi wowote.

9. WANAPENDA ANASA, muda mwingi wapo mitandaoni kurusha picha walivyovaa vizuri na kuwatamkia watu ahadi za mambo mema, badala ya kutangaza injili iletayo wokovu wa roho.

10. WANACHANGANYA BIASHARA NA INJILI. Huwezi kutumikia mabwana wawili, never.

11. Wanapinga Nguvu za Mungu, kwa maana ya ROHO MTAKATIFU, ujazo wa Roho na kuomba kwa Roho. Hutakuja kuwaona wanahubiri ujazo wa Roho, ni kwasababu hawanaye.

12. WANAUJENGA ZAIDI MWILI KULIKO ROHO. Majority ni masharobaro, hata hujui wanamtafuta Mungu maombi na kufunga saa ngapi. Hatusemi mtu awe mchafu, ila unashangaa wao muda wote wamevaa kisharobaro, wanajichubua, wanaujali mwili zaidi kuliko hata roho zao.

13. MAHUBIRI YAO MAKAVUUU HATA KAMA UTAONA KUNA MIUJIZA. Ni kwasababu hawana Roho Mtakatifu, ila roho mchafu. Hiyo miujiza jua ni ya shetani, shetani naye hufanya miujiza ili kulaghai.

14. WANAVAA NGOZI YA KONDOO KUJIFANYA NI WATAKATIFU ILI WAWAPATE WENGI, lakini kumbe ni mbwa mwitu walaluao. Mabinti wengi wana siri nzito sana na hawa manabii wa uongo wa kisasa" Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali." (Mathayo 7:15)

15. Wapo kwa ajili ya kuwadanganya watu wasimwabudu Mungu wa kweli." Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi."(Mathayo 24:4-5).

16. WANAFANYA MIUJIZA KWA NJIA ZISIZO ZA KI MUNGU ili waweze kuwapoteza watu. " Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule."(Mathayo 24:24).

17. WANAMWABUDU, WANAMTANGAZA NA KUFANYA KAZI ZA MPINGA KRISTO. " Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho."(1Yohana 2:18)

18. Hawamkubali Yesu hata kama wanajionyesha kuwa wanamwamini lakini kazi zao siyo za Kikristo kwa hiyo hawana Mungu ndani yao. " Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.

19. Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia." (1Yohana 2:22-23)

20. Kazi zao hazitokani na Mungu. " Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani." (1Yohana 4:1).

21. MAFUNDISHO YAO NI YA UONGO. " Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia." (2Petro 2:1).

22. UNABII WAO NI KWA MTAZAMO WAO NA MAAGIZO KUTOKA KUZIMU. " Ndipo BWANA akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao." (Yeremia 14:14).

23. Wengi wanaigiza na kulitaja jina la Bwana visivyo katika unabii wao na miujiza yao ili watu wajue kuwa wanatumiwa na kumbe siyo kweli. " Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?" (Mathayo 7:22).
taratibu mmoja mmoja atakuwa anajifunua, ukweli utajulikana tu. na mwisho wao mbaya sana.
 
Back
Top Bottom