Sifa za Mashangazi Original

Sifa za Mashangazi Original

😂😂😂😂Kitanda ya nyokhooo!! Mwanamke mfupi hawezi kua mtundu hata siku.....akienda sana viral anafinyia over....tena lazima usimangwe kidogo "sasa nakufinyia ole wako unichit"
😂😂😂😂😂 We sio kwa da mau, huyo habari nyingine.!! Sema ww pesa huna humuwezi.!!
Da mau ana wanaume wenye pesa kuanzia 20B
 
😂😂😂😂😂 We sio kwa da mau, huyo habari nyingine.!! Sema ww pesa huna humuwezi.!!
Da mau ana wanaume wenye pesa kuanzia 20B
Saizi hana bando akitoka shamba Uzi ataokuta mbele yake ataanza kuruka nao we mpambe tu huku😂😂😂😂
 
1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na minyama (tumbl, wezere na nyama za mikono).
4. Awe single Mother (Mama Junior).

NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangagani zinashindia dera na ndala miguu imepauka.
View attachment 2878755
Naunga hoja mkono
20240131_181543.jpg
 
1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na minyama (tumbl, wezere na nyama za mikono).
4. Awe single Mother (Mama Junior).

NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangagani zinashindia dera na ndala miguu imepauka.
View attachment 2878755
Awe bonge na makalio makubwa hata yakiwa magumu sio issue sana.
 
Back
Top Bottom