Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usihangaike jitwalie Lamomy we nenda kajieleze ila pm usiende kama account ipo below $25000Nawapenda sana Mashangazi
😂😂😂😂😂 We sio kwa da mau, huyo habari nyingine.!! Sema ww pesa huna humuwezi.!!😂😂😂😂Kitanda ya nyokhooo!! Mwanamke mfupi hawezi kua mtundu hata siku.....akienda sana viral anafinyia over....tena lazima usimangwe kidogo "sasa nakufinyia ole wako unichit"
Saizi hana bando akitoka shamba Uzi ataokuta mbele yake ataanza kuruka nao we mpambe tu huku😂😂😂😂😂😂😂😂😂 We sio kwa da mau, huyo habari nyingine.!! Sema ww pesa huna humuwezi.!!
Da mau ana wanaume wenye pesa kuanzia 20B
🤣🤣🤣🤣Kuna zingine hutaweza . Alivyo Tayana-wog nitakuwa nambeba na ku swing naye🤣🤣
Kwakweli 😷🤣Watu wana wivu wewe . Usitoe siri za ndani
Ana shamba? 🤣🤣🤣Saizi hana bando akitoka shamba Uzi ataokuta mbele yake ataanza kuruka nao we mpambe tu huku😂😂😂😂
Na hili ulitizame Kwa ukaribu🤣🤣Akuwekee na hili mi km mshenga wenu nitalifatilia kwa ukaribu 🤣🤣🤣
Nitaweza boss, hata ukitaka nikusaidie kukumulikia tochi naweza 😜Kuna zingine hutaweza . Alivyo Tayana-wog nitakuwa nambeba na ku swing naye🤣🤣
Isije kutokea km ya maandishi matatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na hili ulitizame Kwa ukaribu🤣🤣
Nyie nilijua ni mimi tu[emoji1787]Rudi kariakoo na ww uone[emoji1787]kama wiki nzima hujarudi home na buku saba
Naunga hoja mkono1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na minyama (tumbl, wezere na nyama za mikono).
4. Awe single Mother (Mama Junior).
NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangagani zinashindia dera na ndala miguu imepauka.
View attachment 2878755
Kkoo tunapiga story ss hivi 🤣🤣Nyie nilijua ni mimi tu[emoji1787]
Kama kawaida yako kulia lia kama demuaisee baada ya kuona huu uzi nmejikuta nalia tu mkuu
Awe bonge na makalio makubwa hata yakiwa magumu sio issue sana.1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na minyama (tumbl, wezere na nyama za mikono).
4. Awe single Mother (Mama Junior).
NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangagani zinashindia dera na ndala miguu imepauka.
View attachment 2878755
Mimi mpaka naona uvivu sijakanyaga nina wiki, tunakoelekea ntaenda kubeba mizigo🥹Kkoo tunapiga story ss hivi [emoji1787][emoji1787]
Wakinga tumezoea ss hivi ni kula sungwe na ndosa.
Hapa kurudi kawaida ni mpaka Ramadan/mwezi mtukufuNyie nilijua ni mimi tu[emoji1787]
Analo😂😂 analima maharageAna shamba? 🤣🤣🤣
Mbona yupo na mipesa mingi, acha kumponda da mau