Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
😆 😆 😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nimecheka had baas, kwann lakini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆 😆 😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nimecheka had baas, kwann lakini??
[emoji23][emoji23][emoji23] makopo ya kijapan tenaaa.Mimi nikadhani awe na Mercedes Benz GLC au Audi Q8 kumbe hayo makopo ya kijapani
saanaKo OP yuko nje ya mada? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema kweli [emoji23][emoji23][emoji23]saana
Hivi visa ulishaanza process ya kufatilia mahi?? 🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️Niwache pls
Mbavu zangu
USA ya nanjilinji
🙈😅😅😅
Kumbe mpare..??? Mazito.!!Wizooo wetu yuko winja winja uduguuu, shangazii tunae.
Kigoma na tarumbetaaa vipoo vya kushatooo, mama shughuri nipoo afu naimudu sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huyo shombeshombe yupiii? Wee baba wa mtoto si jamaa wa kipare yuko humuuu? Au
🤣🤣🤣 Dihaaa niwache pls🏃🏃🏃Hivi visa ulishaanza process ya kufatilia mahi?? 🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Ila shemeji kutusumbua kumbe yupo hapo tu Singida
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dihaaa niwache pls🏃🏃🏃
Nitapanda shabiby luxury
Sio mgeni ni vile nimetoka uwinga mpaka kichochoro[emoji1787]We ni mgeni kkoo? [emoji23][emoji23][emoji23] January na February zinakuaga hv hv ..... usisahau kwenda na PC uangalie movie
Doh bora umeniambia nianze kusaka wafunga mizigo mpaka mambo yakae sawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nacheka km mazuri
January ya moto, mpk mwezi wa 3 patakaa vzr usijali
Ukija kukaa vzr ukipata pesa fungua ofisi nyingine nje ya kkoo..!!!Doh bora umeniambia nianze kusaka wafunga mizigo mpaka mambo yakae sawa
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Sema hapo kwenye walevi pana maokoto sana tatizo imani yangu inanikataza.....labda chakulaUkija kukaa vzr ukipata pesa fungua ofisi nyingine nje ya kkoo..!!!
Mwenzio nikiona hapasomeki nipo zangu Mwenge kuna kiduka cha liquor walevi hawana January [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fungua duka la vyakula uwe unaenda mwenyewe unanunua mipunga unakoboa, unasafirisha hadi dar, na mahindi unakoboa na kusaga mwenyewe. Maharage na mafuta ya alizeti nayo nunua alizeti unakamua mwenyewe..!Sema hapo kwenye walevi pana maokoto sana tatizo imani yangu inanikataza.....labda chakula
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Shukrani sana kwa hii comment, nikikaa poa naifanyia kazi saizi acha niprint na kuifanyia lamination kichwaniFungua duka la vyakula uwe unaenda mwenyewe unanunua mipunga unakoboa, unasafirisha hadi dar, na mahindi unakoboa na kusaga mwenyewe. Maharage na mafuta ya alizeti nayo nunua alizeti unakamua mwenyewe..!
Ukija huku una pack unauza rejareja na jumla kwenye viduka vya Mangi.
Machimbo yapo mengi, ila mchele mzuri Mbeya, Moro na Sumbawanga
Ila sumbawanga utapata vyote hivyo nilivyokwambia kwa bei nzuri..!!
Kariakoo kua multipurpose la sivyo utakua Mtu wa kucheza michezo😂😂Sio mgeni ni vile nimetoka uwinga mpaka kichochoro[emoji1787]
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mjini kujiongeza mpendwa, ni kucheza na fursaShukrani sana kwa hii comment, nikikaa poa naifanyia kazi saizi acha niprint na kuifanyia lamination kichwani
Mfano maeneo gani yanaweza kua mazuri kufanya hicho kitu? Nafaka nae ni nzuriFungua duka la vyakula uwe unaenda mwenyewe unanunua mipunga unakoboa, unasafirisha hadi dar, na mahindi unakoboa na kusaga mwenyewe. Maharage na mafuta ya alizeti nayo nunua alizeti unakamua mwenyewe..!
Ukija huku una pack unauza rejareja na jumla kwenye viduka vya Mangi.
Machimbo yapo mengi, ila mchele mzuri Mbeya, Moro na Sumbawanga
Ila sumbawanga utapata vyote hivyo nilivyokwambia kwa bei nzuri..!!
Nafaka kwa dar sehemu yoyote inauzika ni ww kuwa serious na biashara yako, ila ukiweka eneo ambalo hawakufahamu itapendeza ili kukwepa kukopana na wale wanaokujua..!!!Mfano maeneo gani yanaweza kua mazuri kufanya hicho kitu? Nafaka nae ni nzuri
Kuna mwalimu akikaa vbya Nampa mimba na mtaji auze nafakaNafaka kwa dar sehemu yoyote inauzika ni ww kuwa serious na biashara yako, ila ukiweka eneo ambalo hawakufahamu itapendeza ili kukwepa kukopana na wale wanaokujua..!!!
Hizo ndo akili zako 😂😂😂Kuna mwalimu akikaa vbya Nampa mimba na mtaji auze nafaka