Sifa za Mashangazi Original

Niwache pls
Mbavu zangu
USA ya nanjilinji
πŸ™ˆπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hivi visa ulishaanza process ya kufatilia mahi?? πŸ€£πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Ila shemeji kutusumbua kumbe yupo hapo tu Singida
 
Kumbe mpare..??? Mazito.!!
Sasa wizo anachonisemeaga mume wangu mfupi kitu gani??
kumbe naye kachukua kiandunje cha milimani uko upareni.!!!
Halafu vichawi vijitu vya uko 🀣🀣🀣
Kazi anayo, ameyatimba.
Ndio yule fundi magari?
 
Hivi visa ulishaanza process ya kufatilia mahi?? πŸ€£πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Ila shemeji kutusumbua kumbe yupo hapo tu Singida
🀣🀣🀣 Dihaaa niwache plsπŸƒπŸƒπŸƒ
Nitapanda shabiby luxury
 
Ukija kukaa vzr ukipata pesa fungua ofisi nyingine nje ya kkoo..!!!
Mwenzio nikiona hapasomeki nipo zangu Mwenge kuna kiduka cha liquor walevi hawana January [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema hapo kwenye walevi pana maokoto sana tatizo imani yangu inanikataza.....labda chakula

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Sema hapo kwenye walevi pana maokoto sana tatizo imani yangu inanikataza.....labda chakula

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Fungua duka la vyakula uwe unaenda mwenyewe unanunua mipunga unakoboa, unasafirisha hadi dar, na mahindi unakoboa na kusaga mwenyewe. Maharage na mafuta ya alizeti nayo nunua alizeti unakamua mwenyewe..!
Ukija huku una pack unauza rejareja na jumla kwenye viduka vya Mangi.

Machimbo yapo mengi, ila mchele mzuri Mbeya, Moro na Sumbawanga
Ila sumbawanga utapata vyote hivyo nilivyokwambia kwa bei nzuri..!!
 
Shukrani sana kwa hii comment, nikikaa poa naifanyia kazi saizi acha niprint na kuifanyia lamination kichwani
 
Mfano maeneo gani yanaweza kua mazuri kufanya hicho kitu? Nafaka nae ni nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…