Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ntakua namkatili aiseeHizo ndo akili zako 😂😂😂
Si umchukulie goli Narung’ombe auze hata viatu
Tabia mbaya hiyo 😂Ntakua namkatili aisee
Dili ni kumpiga mimba afu unakua haueleweki una mpango wa kumuoa au hauna uone atakavojituma
Vitoto vya 92+ plus lazima utumie akili😂Tabia mbaya hiyo 😂
Hivi kumbe na sie vitoto wa 90s 😜Vitoto vya 92+ plus lazima utumie akili😂
😂😂Ushakua mtu mzima ww acha ujinga si Hata ww unaona ta call sio mchongo tena kwakoHivi kumbe na sie vitoto wa 90s 😜
Ngoja niongeze mapozi kwa bebiii
😂😂😂 Utajiju😂😂Ushakua mtu mzima ww acha ujinga si Hata ww unaona ta call sio mchongo tena kwako
Endelea kujidogosha 😂lkn moyoni mwako kuna sauti inakwambia kimtindo "ushakua bibi mwanja"😂😂😂 Utajiju
Ila mi bado kadogori
😂😂😂 ww mwenyewe umekiri vitoto vya 92+Endelea kujidogosha 😂lkn moyoni mwako kuna sauti inakwambia kimtindo "ushakua bibi mwanja"
Kwangu mm nyie n vitoto 😂mnazaliwa mi nshakua baharia😂😂😂 ww mwenyewe umekiri vitoto vya 92+
Baharia wa nchi kavu au majini?? 🤣Kwangu mm nyie n vitoto 😂mnazaliwa mi nshakua baharia
Kwa Leo tuishie hapaBaharia wa nchi kavu au majini?? 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mie Mpare wangu ni mrefu, afu slim na anatoka mlimani haswaa.Kumbe mpare..??? Mazito.!!
Sasa wizo anachonisemeaga mume wangu mfupi kitu gani??
kumbe naye kachukua kiandunje cha milimani uko upareni.!!!
Halafu vichawi vijitu vya uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi anayo, ameyatimba.
Ndio yule fundi magari?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukija kukaa vzr ukipata pesa fungua ofisi nyingine nje ya kkoo..!!!
Mwenzio nikiona hapasomeki nipo zangu Mwenge kuna kiduka cha liquor walevi hawana January [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asubutuu!! Vipare vifupi, vichawi afu vina roho mbaya 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mie Mpare wangu ni mrefu, afu slim na anatoka mlimani haswaa.
Njoo tulewe mdogo angu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shangazi kwani nyinyi Mashangazi mnakua na sifa zipi?apo umesema sifa za sugermammy mwaya
Shangazi upo?Njoo tulewe mdogo angu