Sifa za Mashangazi Original

Sifa za Mashangazi Original

Kwenye mijishangazi wacha ninyamaze tu..nilikamata miwili hiyo lol,mpaka yenyewe inasema we kijana unapenda mama zako,mi hata sijali nachochea moto tu,ila nimeacha jamani,yatakuja kuniua bure.
 
Kumbe mpare..??? Mazito.!!
Sasa wizo anachonisemeaga mume wangu mfupi kitu gani??
kumbe naye kachukua kiandunje cha milimani uko upareni.!!!
Halafu vichawi vijitu vya uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi anayo, ameyatimba.
Ndio yule fundi magari?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mie Mpare wangu ni mrefu, afu slim na anatoka mlimani haswaa.
 
Back
Top Bottom