dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kuzunguka na gari sh 1900
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee acha kuna mchezo nimeingia wa dollar 1000 kwa wakinga wenzangu unaninyoosha na njanuary hii 🤣🤣🤣Rudi kariakoo na ww uone🤣kama wiki nzima hujarudi home na buku saba
Sasa we mkinga round hii nifungulie pm nimechoka kutubu dhambi simuoni padre 🤣pasua pazia za hekaluniUvivu tu wa kulima 😂😂😂
Huna pumziMashangaz yanaboa.
Nina RB yakoWee acha kuna mchezo nimeingia wa dollar 1000 kwa wakinga wenzangu unaninyoosha na njanuary hii 🤣🤣🤣
Bado kodi inanisubiri, nimetoka kuwalipa TRA mapato yao. Nasubiri wa leseni.
Kiherehere hicho mapema yote kulikuwa na haja gn ya kumalizana na TRA.Wee acha kuna mchezo nimeingia wa dollar 1000 kwa wakinga wenzangu unaninyoosha na njanuary hii 🤣🤣🤣
Bado kodi inanisubiri, nimetoka kuwalipa TRA mapato yao. Nasubiri wa leseni.
umelia sana mkuu jua hauko peke yako nami nalia mpka mda huu😢😿😢😿
Huyu bichwa komwe ni lishangazi?
Wacha weee!! 🤣🤣🤣Sasa we mkinga round hii nifungulie pm nimechoka kutubu dhambi simuoni padre 🤣pasua pazia za hekaluni
🤣🤣🤣 Bro njoo unikamate nikawahi umbea wa sentroNina RB yako
Ko mpaka lini sasa😢huku ndo kulishwa siki na sifongo sasaWacha weee!! 🤣🤣🤣
Dirisha la usajili bado endelea kukaa benchi
wapo ila mpaka wakuapproach wenyewe huwa wana vitu vyao vinavyowavutiaga1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
😂😂😂😂😂😂😂 nakosaje gari kwa mfano???? Khaaaaa....
Nikukute kituoni sitaki usumbufu.🤣🤣🤣 Bro njoo unikamate nikawahi umbea wa sentro
Vipi lkn uko poah? Nimekumiss heri ya mwaka mpya
Shangazi mtamu😂😂😂😂😂😂😂 nakosaje gari kwa mfano???? Khaaaaa....
Kwa hili sambwanda langu lazima nitembee kwa kukaa.
Natembelea Harrier tako la nyanii sina mbambamba shangazi miee 🤗🤗🤗
Kuna vijana wanapendwa na mashangaz ila hawapendeki ni shida wanawatapeli kila siku.Huna pumzi