Sifa za Mashangazi Original

Sifa za Mashangazi Original

Kiherehere hicho mapema yote kulikuwa na haja gn ya kumalizana na TRA.

Kodi ongea na mzee hakikisha iwe inaisha miezi hii 8-11 nje na hapo soon utakua shangazi
Wee TRA jau hawachelewi kukutafutia visa, km kkoo walieka ni sehemu yao ya kujipigia pesa. Mimi hata zile awamu zao nne siwalipi, namalizana nao awamu moja nawaekea mzigo wote..!
Mzee yupi tena.?! Mwehu wewe 🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂😂😂 nakosaje gari kwa mfano???? Khaaaaa....

Kwa hili sambwanda langu lazima nitembee kwa kukaa.

Natembelea Harrier tako la nyanii sina mbambamba shangazi miee 🤗🤗🤗
Kapicha ka sambwanda tafadhali, Lamomy mwambie Harrier itamuumiza sambwanda, kuna V8 hapa halina kazi, kwa mwenyewe sambwanda tu.
 
Back
Top Bottom