financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
unaseleleka tu mkuu, kuwa makini kijana mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapo ya nani na naniHii kapu yenu nataka ifike mbali mna match sana 😂😂😂
Da mau na mpaji Mungu 😂😂Kapo ya nani na nani
Waoane tyuu tupumzike kuchambwaDa maua Ana stiless si mchezo kama kampata shemela basi tusema inshallah kamati tupo tayari
Niice1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
Broo umeshaanza kumtamani kijana wa watu. nakupa sifa yake moja atakuwa anavaa vipensi
Vipi mamiloo, je wewe umequalify sifa hizo!apo umesema sifa za sugermammy mwaya
Umesahau awe anavaa vikuku miguu yote, awe anakunywa sparkling wine au whisky tu, awe na paja jeupe, etc1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
HahahWanaita vinjunga...
Ewaaah!! Harusi tunayo 😂😂😂Nimeshawaambia wanakukundi changu Cha Strong woman ndio tunaandaa kitchen party 😅
Uvivu tu wa kulima 😂😂😂Kitonga kitawaua nyau nyie,Eti Alphard ya kupiga misele🤣🤣🤣