Hujui kulima,mtu wa kula mabaga,chipsi,chai kavu,uongo mwingi kazi kidogo,kila kitu unajijua hata Donald Trump mlisoma nae,utapelitapeli,majisifu,ujanjaujanja,Mzee wa michongo fake na halali nkKuna watu wanapenda sana kujiita watoto wa mjini! Wana jamii wenzangu embu tuchambue sifa za mtoto wa mjini ndo mtu wa aina gani! Binafsi sijui mtoto wa mjini ni mtu wa aina gani. Nasikia tu watu wakijiita "mi mtoto wa mjini"
Hivi ukiwa mtoto wa mjini ndo unakua na sifa zipi? Au unatakiwa uwe na sifa zipi ili uitwe mtoto wa mjini?
1. MoneyKuna watu wanapenda sana kujiita watoto wa mjini! Wana jamii wenzangu embu tuchambue sifa za mtoto wa mjini. Binafsi sijui mtoto wa mjini ni mtu wa aina gani. Nasikia tu watu wakijiita au kuitwa mtoto wa mjini!!
Hivi ukiwa mtoto wa mjini ndo unakua na sifa zipi? Au unatakiwa uwe na sifa zipi ili uitwe mtoto wa mjini?
Doh asa mbona sifa mbovu mbovuHujui kulima,mtu wa kula mabaga,chipsi,chai kavu,uongo mwingi kazi kidogo,kila kitu unajijua hata Donald Trump mlisoma nae,utapelitapeli,majisifu,ujanjaujanja,Mzee wa michongo fake na halali nk
Kwaiyo nikiwa tapeli moja kwa moja nakua mtoto wa mjiniSifa kuu muhimu uwe TAPELI si umeona wale mapapaa fudenge wengi ni waabeshi.!!
Magufuli nae alikua mtoto wa mjini?1. Money
2. Power
Mtoto wa mjini unatakiwa uwe na mizizi mirefu mjini familia yenu ilikuwepo mjini kabla ya mwaka 1900.Kuna watu wanapenda sana kujiita watoto wa mjini! Wana jamii wenzangu embu tuchambue sifa za mtoto wa mjini. Binafsi sijui mtoto wa mjini ni mtu wa aina gani. Nasikia tu watu wakijiita au kuitwa mtoto wa mjini!!
Hivi ukiwa mtoto wa mjini ndo unakua na sifa zipi? Au unatakiwa uwe na sifa zipi ili uitwe mtoto wa mjini?
Cc The Boss kwenye thread yake maarufu jamvini je magufuli atawaweza watoto wa mjini?Kuna watu wanapenda sana kujiita watoto wa mjini! Wana jamii wenzangu embu tuchambue sifa za mtoto wa mjini. Binafsi sijui mtoto wa mjini ni mtu wa aina gani. Nasikia tu watu wakijiita au kuitwa mtoto wa mjini!!
Hivi ukiwa mtoto wa mjini ndo unakua na sifa zipi? Au unatakiwa uwe na sifa zipi ili uitwe mtoto wa mjini?