Sifa za mwanamke nitakayemuoa mwaka 2018 mimi Deo Kisandu

Kwi kwi kwi kwi hii harusi si ya kukosa Mkuu DNK. Tufahamishane mahali na tarehe ili nije kushuhudia hii siku kubwa na ya heshima sana kwako. Invitation card itapendeza Mkuu.

 
Nimekuelewa sana hapo kwenye N.B Muwe mnalipia basi.
 
Inamaana hizi sifa zooote anatakiwa awenazo huyo mwanamke mmoja unaetaka kumuoa ama mi sijaelewa
 
JF mods waanzishe utaratibu wa kulipia matangazo hasa kwa wanaume. Wanawake tushawazoea.

[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
mm kila nikiona post zako huruma hua inaniingia napowafikiria wanafunzi wako deo kisandu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
The gape between his eye and chick portrays the behavioral traits of the individual.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…