Sifa za mwanamke nitakayemuoa mwaka 2018 mimi Deo Kisandu

Huyo mke atakuwa na raha sana kukupata comedian kama wewe.
 
Sifa zako labda naweza niku promote kwa dada yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mzee nitafute nikuombee..... Maana naona kwa kipindi hiki kifupi akili yako haijakaa vizuri...... Kuna vitu vinakuchanganya........ Ebu kwa haraka fumba macho kisha usali sala ya baba yetu....
 
Angeweka na zake yupo vipi.[emoji44]
Ukisoma nyuzi za Deo 3 tu, na ambazo wachangiaji wametiririka, utajua kama ni kweli "BOGA KUU HUARIBIKIA UKUBWANI!"
 
Watu kama nyie ndo mnasababisha bange zionekane mbaya
 
Jamaa wamemfunga tutakosa burudani fulani hivi hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…