Aka jioe mwenyewe wanaume sisi baba yetu ni mmoja
Hivi Lady hajakeketwa kweli!??
Kama ni wa musoma.......
Mwanaume mwenye vigezo gani ungependa kuwa nae kwa sasa?
JIBU :Anaejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma, anaeweza ku take care of me financially.Asiechepuka hovyo (Milupo kila kona ),Asiwe tegemezi.Hata kama sio tajiri lakini asinitegemee.Asiwe mlevi kupindukia wa kulala bar,Wala kulala nje kwa machangu wa Kinondoni au popote pale.Nikikohoa tu awepo hapo..
Kwa mtazamo wako anaweza kupata Mwanaume asiye na mapungufu?
jd sinaugunduzisana ila hutokosa asienamapungufu madogo. Kama mimii!!kwakuwa najiamini mwwnaume mwenye hizo unazotaka ni mchaga wa kimarangu kwqnza atutegemei wanawake pili gari kamalako utqnikuta naendesha kwenye misiba tu hatakamw lina full tanki!!!ilakingine nawewee kuwekamatangazo yakushikwa shikwa sitaki wamarangu niwazuri tabia ilamashetani wa wivu hasa kwa wakezao
mwanaume mwenye vigezo gani ungependa kuwa nae kwa sasa?
jibu :anaejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma, anaeweza ku take care of me financially.asiechepuka hovyo (milupo kila kona ),asiwe tegemezi.hata kama sio tajiri lakini asinitegemee.asiwe mlevi kupindukia wa kulala bar,wala kulala nje kwa machangu wa kinondoni au popote pale.nikikohoa tu awepo hapo..
kwa mtazamo wako anaweza kupata mwanaume asiye na mapungufu?
jd sinaugunduzisana ila hutokosa asienamapungufu madogo. Kama mimii!!kwakuwa najiamini mwwnaume mwenye hizo unazotaka ni mchaga wa kimarangu kwqnza atutegemei wanawake pili gari kamalako utqnikuta naendesha kwenye misiba tu hatakamw lina full tanki!!!ilakingine nawewee kuwekamatangazo yakushikwa shikwa sitaki wamarangu niwazuri tabia ilamashetani wa wivu hasa kwa wakezao
Point yake haiko clear
Kwani hana baba na mama mkuu.Amepanic, nahisi kwa sasahivi yupo peke yake, hana wa kumshauri kwa upande wa kike au kiume, alistahili kuwa kimya kabisa,
Namhurumia anaweza jikuta mauzo ya nyimbo zake ikashuka,hata business zake zingine zikapoteza mvuto
Kwani hana baba na mama mkuu.