frankgeneous
Member
- Jun 15, 2013
- 38
- 23
kwa hii statement maana yake anataka mume ambaye anachepuka lakini kwa kiasi
KuHOKOKA ndo kufanyaje vileushauri wangu kwa judith wambura ni amwombe MUNGU ampe mume mwema,aliye HOKOKA lakini tofauti na hapo ataliatu.
una maanisha??
Mm sifa nnazo,, yeye anipe uhakika wa mtoto tu!
Honestly, Huyu mwanamke simpendi and ananichefuaga sanaaa. Its easy to see and tell pamoja na hela, mali na mafanikio yake, she a lonely nd depressed b*tch. Yote sabab ya jeuri na dharau zake. U can tell much from someone's tone of speaking (voice) and ways of life.
Ivi anavyo bwata bwata hadharani kuhusu mambo yake ya ndani, anafkiri ni nani anae dhalilika ??? Mambo yenu ya ndani (ndoa) sisi yanatuhusu vp ??
Mi ndio maana nawaambiaga watu, ukiwa mwanaume usije ukakubali hata siku moja mtu akulinganishe na mwanamke ( as in una mambo na tabia za kike). I consider that a very serious offence. Seriously, Huyu dada halijioni lishakua zee, to act a kid ??? #NoHardFeelings .
Alikuwa mvumilivu sana kwa mwanamke kama huyu anayebwatuka hivi kwenye public je huko ndani ilikuwaje?
uko ndani labda alikuwa VUVUZELA
ushauri wangu kwa judith wambura ni amwombe MUNGU ampe mume mwema,aliye HOKOKA lakini tofauti na hapo ataliatu.
Aliyeokoka kama MBASHA?ushauri wangu kwa judith wambura ni amwombe MUNGU ampe mume mwema,aliye HOKOKA lakini tofauti na hapo ataliatu.
Nampa pole mwanamke mwenzetu ameingia stage ya frastuation ndicho kinachomsumbua. Ningekuwa karibu nae ningemwomba atulie asiongee chochote kwanza mpaka akili yake ikitulia. Maana sasa mwisho anajikuta anaongea vitu vya ajabu kuwa akikohoa tu mume awepo. Wanaume wengi hawapendi hili na ndicho kilichoharibu ujumbe mzima
Alikuwa mvumilivu sana kwa mwanamke kama huyu anayebwatuka hivi kwenye public je huko ndani ilikuwaje?
Hahahaa mhurumie mwenzio!!!Ningekuwa na number zake ningetumia muda huu kumfariji.Nadhani ningejilia kiulaini.