Akikooa usogee karibu fasta
Aisee..avute kiti akae kabisa maana kama kusubiri atasubiri sana
Yeye ni celebrity,its ok kuweka mambo yake hadharani km hampendi kanyweni sumu!....yaani kwa kuwa umeachwa ndio usiongee na watu,ujikunyate saa zote km mjane?!....
Wanaume wale bold ni wakati wenu wa kutupa ndoano,lol...tatizo wanaume especially wa ki Tanzania mkiwa na wake wenye kuwazidi kipato huwa mnajishtukia sijui kwa nini??lol
Si ndio kazi ya public sasa kujadili heading zilizowekwa na celebrities kwa njia ya kusifu au kukosoa, sasa we unatakaje watu wanywe sumu??!!!
Ukishasema bold basi masuala ya kujistukia yanakuwa yamekufa kifo asili, na hao bold ukisoma utaona mitazamo yetu humu. . . .
By the way mnajaza ujjinga kwa kumtetea mitandaoni wakati maisha yenu ni contra ina reality!!
Ungeweka hapa maisha ya mmoja wa ex wako ungekuwa unamuunga mkono kivitendo Jestina. . . . .walk the talk #anaconda
ushauri wangu kwa judith wambura ni amwombe MUNGU ampe mume mwema,aliye HOKOKA lakini tofauti na hapo ataliatu.
Mbona unamtakia mabaya mwenzako? Mume aliyeokoka? Ukiwa bado uko hai huwezi okoka, wale wanaojidanganya kuokoka ni wasanii tu na ndiyo wanafiki wakubwa.
Chuguza mienendo yako, utakuwata wengi wao ni wanafiki, walikuwa malaya, vibaka, baada ya kuchoshwa na hizo tabia wamehamua kupumzika na kujidanganya kuokoka ili kurubuni watu.
Ningekuwasijui kiswahili ungeandika huu utumbowako ulioandika!!ulijuaje sikijui kabla hujaelewa!!heshimuwaumezenumnaadabu kaeninawaumezenumuwape mahitajiyao avhananapdidy!!!motomwingine!!somanimeingia lini nahizosifanizipateleo!!shame n utoka watu wakusifie uandishi huo wa kipuuzi ndio ushafanya sifa,kingereza hujui,kiswahili matatizo
JD ni mwanamke mpumbavu sana na gadner atakuwa alivumilia mengi sana. hana hekima na ni mshari sana.Anamtukana G. matusi matusi makubwa sana..
Ivi hajui wanaume we are one. Ni mwanaume gani atampata ilhali anatudhalilishia mwenzetu.
Jay dee u r done. Nunua tu midoli ya kutosha
Polejamani kwanitunabishana!!!ungesema tukamaumeolewa nampa pole nayeye awe nauvumilivu kama Gardner asikatetamaa kama GardnerWe ni mtoto wa chekechea vidudu siwez bishana na wewe
Mi naweza siamesema hatakama si tajiri ila tu asimtegemee hilo wwngi tunaweza kwani kwa asili si wanaume tumeumbwa kutegemeza zaidi kuliko kutegemea, tatazo ni yeye anaweza kuwa kama mwanamke? kwa vile yuko kama kidume tu
Hapo kwenye blue acheze nako haswa!
Ajiulizw why kuchepuka my be anaudume mwingi mno kwa hiyo ni ngumu sana lukaa na mtu wa hivyo pengine hata unyumba lazima ujipe zoezi kwanza ndio....
Kaka we G is a great presenter, skilled in this and experienced. . . .He can arrest the crowd during the show i like this with him!!!
He has been not living it real. . . A man has to display his endowment, unfortunately he has been under shadows for long. . . .sunbursking session is on now. . . . .
Huyo dada kukosa mtoto isiwe issue we gotta not shun her away for that, man. . . its a way too inhuman to judge her for that status. . . . .she can have a million reasons to life than child bearing, its more of psychological stability and perception. . . . .God's will son, we gotta be thankfully that we have kids still we not licenced permanently to have them. . . . . .I lost one and then i learned God given are not under our full control
Moneystunna!!!kamahujaolewa nashauriii usikubali kuolewa!!kamaunawezakukasirikka namtu usiemjua!!walakumwona!!mumeo je utamweza!!wazo tu