Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hamzitaki mimba tumieni kinga. Huwa sielewi kauli ya kutegeshewa mimba ilhali mtu kala kavu akiambiwa habari za mimba anang'aka kategeshewa.Kukubali mimba kirahisi wakati mwanamke hujamuoa ni uboya. Ukizingatia sasa mapenzi hakuna ni biashara (kizazi cha kudanga) unakubali mimba kumbe mpo sita mnahudumia, na mimba iwe ya makubaliano siyo za kujitegesha., na kudanganya sipo ktk danger days au natumia birth control pills kumbe unategeshewa.
🤣 nimechekaaaaa, mimi naamini anatania au K vant ndio inaongea😂😂😂afu jamaa katanua na pua kabisa
Wababa wa hivi ndio wanawaponza na wenzao waonekane wote hamnazo.Kama unajua humwamini mwanamke yeyote na hupendi majukumu usishiriki ngono zembe.Mwanamke unamjua ana wanaume wengi unampiga peku...una akili kweli wewe?
Nataka nionje utelezi wakeKama unajua humwamini mwanamke yeyote na hupendi majukumu usishiriki ngono zembe.Mwanamke unamjua ana wanaume wengi unampiga peku...una akili kweli wewe?
Hahahaaa..!! 🤣🤣🤣 nimecheka kidogo nilie hapa...Uliwaza nini wakati wa kuandika hii...I.Kumdharau single mother ingali anajua nae kakataa mimba ya mtoto wa MTU,kakataa kuoa aliyemtia mimba
Tukiwasifu tu bila kuwakumbusha mnapoteleza itakuwa tunawakosea mkuu